kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,109
- 14,449
Nikuambie kama nanunua ili iweje?
Nikuambie kama nanunua ili iweje?
Mtu akianza kumla kiboga demu mnamuona hana maadili hivi laki tatu ni hela ndogo eeh?Embu mfikirie mwenzio na uanze kumpa hizo laki 3..mbona unapenda kuuweka usiku namna hiyo..😂
Bei elekezi ni 30,000 tu kila weekend kama mtoto anakidhi vigezo 😅Laki 3, duh... Nakupiga block kwanza! Kudadadeki! 🤣 🤣 🤣 🤣(kwani mke???)
Kuna kumjali mtu ila kwa kumpa laki3 kila mwezi hio ni biashara kabisa😂😂😂Huwa una akili sana ujue.
Hapa hatuko sawa 100%
Bali tunagusa vitu kwa uwingi.
Ni mara chache umjali mtu asikupende.
Nasaema ni mara chache.
Na kwa tamaa zao hiz tunawagonga vibaya mnooo...ndomana watu hawana huruma..had tigo wanapita nakoUmaskini unawasumbua Mabinti wa 2000 achana nae kabisa, ela zikiisha atakuacha
Degree ya kukata viuno labda! Mwanamke mwenye akili hii mapenzi tu ndio yanakuwa kitu pekee anachoweza kukitoa kama mtaji wa kujiingizia kipato!Mia tatu per month?
Muulize ana degree
Wahuni wanachochola panako tope 😅😅😅 na kuwasomesha namba’Na kwa tamaa zao hiz tunawagonga vibaya mnooo...ndomana watu hawana huruma..had tigo wanapita nako
Kama mbunge sawa 😅😅😅 maana hio ni posho ya siku anaweza akatoa kila mwezi katika zile million 12 zake ikawa kama kujamba usingizini tu 😅Wenzio iyo laki3 iko kama efu20 ktk marupurupu yake na anaitoa bila hata kuhisi kama kuna mahali ametoa
Hahahahahah af unakuta mwamba ni muajiriwa wa GARDAWORLD 😅😅😅hahahahahaha kmmmmk, una date na malaya aliyechangamka
so yeye atakua anaku-offa PAPUCHI tu siyo ? safi sana
Mambo ya bei elekezi hayo 😂😂😂Ha ha haa haa...eti kisishuke
Acha tambo wewe, ikipitishwa rambi rambi tu humu hamkawilii kukimbia uzi 😅😅😅!!! Af leo hii eti unavimbia kabisa laki 3 hela ndogo tu kmmmk walai 😅Kama wewe inakosa sio wote....maisha ulonayo sio lazima yafanane na wengine! Sisemi nina ela nyingi Ila kwa laki3 ya kumpa mpenzi ni ela ya kawaida kabisa...ila sio kwa wote.....kwaivo sio lazima iyo ela iwe ya kawaida kwako makasiriko ya nini sasa?
Hahahahah kwahio mwamba una sura ya sokwe dah 😂😂😂 unazingua ujue! This qoute should be documented 😂😂😂Tatizo wadada mnaoomba pesa mda mfupi baada ya kutongozwa, mnafanya hivyo kwa nia ya kutukomoa, na sio kwamba mna shida kweli, ushaona mm kidume nina sura ya sokwe Na sikuvutii kingono ila kwa vile nimekushobokea na nimekutongoza, unaona bora uniakamue hela witnessj
Heheheheh atoe pesa aache maelezo 😂😂😂Acha maneno mengi bwana, we toa pesa bwana!
Huyu ilibidi apambanishwe na yule mwamba anaepiga bao 16 kwa siku! 😂😂😂😂 hadi kamimbiwa na mkewe ufilipino huko!Hapana bidada huyo sio kumsaidia huyu anajua anacho kifanya yaani kwake yeye kuwa na mwanaume ni ajira.
Okay yeye kadai laki tatu kwa mwezi, namimi nisemeje sasa nimwambie atanipa K mara ngapi kwa mwezi?
Mana huu ni mkataba sasa.
Am sorry mkuu ila naweza sema huu ni ukahaba tu na hukuna mapenzi ya namna hii K yake bei ya chini ni laki tatu so inaweza kupanda pia.
Eti bibie ni ubahili tu,yani ten kwa siku tu ndo anapiga nduru hivi.We mpe hela kama we ni mwanaume, kama pesa huna na uvulana bado unakusumbua kuwa na wa level yako...laki3 kitu gan kwani
Unamwambia katafute hio hela uje unipe kama unavyoniomba kizembe hapa😂 maana lazma atajiropokesha tu ohh hela yenyewe laki tatu tunasumbuaana hivi!Uko sahihi mkuu
Mfano unakuta mtu hata hiyo laki tatu kuipata kwa mwezi ni mbinde mtu unapambana unajibana unajinyima nk
Kumbuka pia ana ndugu wenye shida za hapa na pale
Halafu mtu anakuja eti mpe hela we mpe hela kwani mahisiano ni kazi? Kama kutombn raha si wanapata wote?? Na kama mtu unaona hiyo hela ni rahisi namna hiyo si akaitafute na yeye
Mambo mengine ni kujiendekeza aisee
Noma sanaMambo ya bei elekezi hayo
Mkuu kuwa na tafsida basi daaahWahuni wanachochola panako tope na kuwasomesha namba’
Tafsida tupu 😅😅😅Mkuu kuwa na tafsida basi daaah