nakupenda mume / mke wangu

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
Mu-hali gani wana MMU, mie hapa buheri wa afya,

Juzi kati nilikuwa maeneo flani, meza iliyofuata waliketi watu wanne. Kati yao walikuwa wanawake wawili na wanaume wawili. Ni watu wa makamo hivi. Mara moja wale wababa akapigiwa simu na mkewe, akapokea. nahisi mke alimuuliza uko wapi? mume akajibu nipo mahali flani na rafik yangu Evance na shemeji yani mke wa Evance. sijui mke alimwambia nini but mume akajibu "nakupenda sana mke wangu na akakata simu"

swali je hayo maneno yanatosha kukuridhisha kuwa mumen/mkeo yupo mahali salama???
 
inategemea limetumika wakati gani,unajua maana ya neno ipo kwenye muktadha!
 
Inategemea upande wa pili wa simu huyo baba mtu mzima aliambiwa nini na huyo anayehisiwa kuwa mkewe mpaka akamjibu hivyo kuwa nakupenda sana mke wangu!
Binafsi sioni tatizo kama walikuwa wamekaa kwa maana ya kuenjoy kwa kupiga vinywaji tu kujiburudisha na kuondoa uchovu wa kazi za mchana.
Ila kama huyo Evance aliyemtaja hakuwa naye hapo then twaweza kuhisi kuna kamchezo kasiko salama kanafanywa na huyo baba.
So kwa kifupi maneno kama haya yanategemea na mazungumzo ya wahusika na namna wanavyoaminiana na pia wakati linapotumika.
 
Hayatoshi chochote usidanganyikeee! Mimi niliwahi kudate na mtu anataka umwabie live kwenye simu nakupeda (umtaje jina) alafu umbusu hadharani, akanikuta master mwenyewe nimeshindikana, simu naweka silent! Nikiona simu yake naenda chooni, basi anaanza na demand zake ahh mi natekeleza, akiridhika nakata simu, huyo mdogomdogo narudi kuendeleza libeneke.
 
Kwa case ulozungumza wewe mi naona hayo maneno yana maana kubwa sana. Its good ukiwa na jamaa anayeweza ku declare publicly feelings zake kwako.

Ningechukia angesema "me too"

Mimi wa hivyo anakuwa keshaniloga walahi. Napenda kweli maneno matamu, hasa yakitamkwa adharani.
 
inategemeana how do they treat each other and by ze wa ha2jui walikua wanajibizana nn,so itakua ngumu kutoa judgement..............
 
YES and NO.

Anaweza akawa na kimada bado akatamka hayo maana kimada haogopeki na wengi wao hua wanajulishwa kabisa kuwa mwenye nyumba yupo.

Au. . .anaweza akawa anamaanisha na wala haoni ugumu kutamka hivyo mbele ya watu kwasababu anajivunia wewe kuwa mume/mke wake. Hii ya pili ni raha sana. Hata pale anapokuwa haishi kukusifia/sema anavyokupenda kwa watu wake wa karibu wakati wewe haupo. Unaishia kuambiwa tu siku ukikutana nao.
 
Kwa case ulozungumza wewe mi naona hayo maneno yana maana kubwa sana. Its good ukiwa na jamaa anayeweza ku declare publicly feelings zake kwako.

Ningechukia angesema "me too"

Mimi wa hivyo anakuwa keshaniloga walahi. Napenda kweli maneno matamu, hasa yakitamkwa adharani.


mhhhh kuumbee?
 
Hayatoshi chochote usidanganyikeee! Mimi niliwahi kudate na mtu anataka umwabie live kwenye simu nakupeda (umtaje jina) alafu umbusu hadharani, akanikuta master mwenyewe nimeshindikana, simu naweka silent! Nikiona simu yake naenda chooni, basi anaanza na demand zake ahh mi natekeleza, akiridhika nakata simu, huyo mdogomdogo narudi kuendeleza libeneke.

Wewe mubaya wewe
 
Ila sometime unakupa matumaini kuwa yuko safe, na unaona hawezi kuwa na mtu maana ametamka hadharani kuwa anakupenda, so kama kuna hawara hapo anajua kabisa kuwa hapendwi yeye.
 
wadau, nimesema hivyo kwa sababu niliwahi kudate na mkaka flani. yan yeye alikuwa na wivu mpaka kero. kila anapopiga simu swali la kwanza upo wapi, unafanya nini. utamjibu kisha baada ya mazungumzo ananambia haya nambie hv "nakupenda sana mume wangu" while ni bf. mara nikiss,haijalishi upo sehemu gani,iwe kazini upo na wateja, iwe upo ofisi za watu ye atataka hayo yote. ukisita anasema namcheat. kiukweli tulishindwa kwa tabia hizo. . . ina maana hayo maneno yanamlinda mtu asi-cheat?????
 
wadau, nimesema hivyo kwa sababu niliwahi kudate na mkaka flani. yan yeye alikuwa na wivu mpaka kero. kila anapopiga simu swali la kwanza upo wapi, unafanya nini. utamjibu kisha baada ya mazungumzo ananambia haya nambie hv "nakupenda sana mume wangu" while ni bf. mara nikiss,haijalishi upo sehemu gani,iwe kazini upo na wateja, iwe upo ofisi za watu ye atataka hayo yote. ukisita anasema namcheat. kiukweli tulishindwa kwa tabia hizo. . . ina maana hayo maneno yanamlinda mtu asi-cheat?????

yanamuhakikishia mtu kuwa kwa wakati wowote na muda wowote akikuambia uyaseme unayasema,uwezekano wa ku cheat ni mdogo na kama una cheat basi aliye pembeni yako kwa wakati huo yaani mwizi ajijue yeye ni mwizi tu,yupo mmiliki halali!na ni maneno ya kawaida kutumika ktk mahusiano ya ndoa,mimi huwa naamini hata kama mume anataka kuiba kwa wakati ule anapoyatamka,kwanza yanaweza kumkera hawara aliyenae,na pia yanamrejeshea fahamu mume /mke ya kukumbuka anachotaka kufanya ni dhambi!
 
wadau, nimesema hivyo kwa sababu niliwahi kudate na mkaka flani. yan yeye alikuwa na wivu mpaka kero. kila anapopiga simu swali la kwanza upo wapi, unafanya nini. utamjibu kisha baada ya mazungumzo ananambia haya nambie hv "nakupenda sana mume wangu" while ni bf. mara nikiss,haijalishi upo sehemu gani,iwe kazini upo na wateja, iwe upo ofisi za watu ye atataka hayo yote. ukisita anasema namcheat. kiukweli tulishindwa kwa tabia hizo. . . ina maana hayo maneno yanamlinda mtu asi-cheat?????

CL hiyo ni hulka tu ya baadhi ya wanaume ambao hawajiamini na ndio maana alikuwa anajump kwenye conclusion pindi matarajio yake yalipokuwa kinyume.
Wapo wapenzi ambao kuambiana neno "nakupenda" ni nadra sana lakini matendo yao utagundua tu jinsi walivyoshibana. Binafsi huwa naamini maneno matupu hayavunji mfupa maana upendo wa kweli huonekana katika matendo maneno ni mbolea tu
 
Mu-hali gani wana MMU, mie hapa buheri wa afya,

Juzi kati nilikuwa maeneo flani, meza iliyofuata waliketi watu wanne. Kati yao walikuwa wanawake wawili na wanaume wawili. Ni watu wa makamo hivi. Mara moja wale wababa akapigiwa simu na mkewe, akapokea. nahisi mke alimuuliza uko wapi? mume akajibu nipo mahali flani na rafik yangu Evance na shemeji yani mke wa Evance. sijui mke alimwambia nini but mume akajibu "nakupenda sana mke wangu na akakata simu"

swali je hayo maneno yanatosha kukuridhisha kuwa mumen/mkeo yupo mahali salama???

Maneno pekee hayatoshi.. Lakini yakienda sambamba na imani uliyonayo kwa mhusika yanaweza yakatosha. Kuna uwezekano kuwa hakuwa na mahusiano yoyote tata na mmojawapo ya hao wanawake aliokaa nao... au hata yapo. But nampa CREDIT ya kuweza kusema na wakasikia kwamba NAKUPENDA MKE WANGU.. pia kusema hivyo bila kuuma uma kunaweza kumjengea mkewe imani zaidi.
 
wadau, nimesema hivyo kwa sababu niliwahi kudate na mkaka flani. yan yeye alikuwa na wivu mpaka kero. kila anapopiga simu swali la kwanza upo wapi, unafanya nini. utamjibu kisha baada ya mazungumzo ananambia haya nambie hv "nakupenda sana mume wangu" while ni bf. mara nikiss,haijalishi upo sehemu gani,iwe kazini upo na wateja, iwe upo ofisi za watu ye atataka hayo yote. ukisita anasema namcheat. kiukweli tulishindwa kwa tabia hizo. . .
ina maana hayo maneno yanamlinda mtu asi-cheat?????
kuna ukweli red line japo siyo muda wote, wivu ni tabia mtu na penye upendo wa kweli wivu unahusika, kama ilivyo kwa gari yako uipendavyo vile
 
Nakubaliana na wewe ailimia 250%. Lol.

Hata kama alikuwa amekaa na kimada ...suala hapo ame prove kuwa wewe ni number one.
Otherwise asingetamka hayo.

Ukimpenda mtu kweli kweli hayo maneno hayawezi kuwa mazito kutamka...tatizo wengi ni wizi mtupu!

yanamuhakikishia mtu kuwa kwa wakati wowote na muda wowote akikuambia uyaseme unayasema,uwezekano wa ku cheat ni mdogo na kama una cheat basi aliye pembeni yako kwa wakati huo yaani mwizi ajijue yeye ni mwizi tu,yupo mmiliki halali!na ni maneno ya kawaida kutumika ktk mahusiano ya ndoa,mimi huwa naamini hata kama mume anataka kuiba kwa wakati ule anapoyatamka,kwanza yanaweza kumkera hawara aliyenae,na pia yanamrejeshea fahamu mume /mke ya kukumbuka anachotaka kufanya ni dhambi!
 
Na unaweza kumkamata cheater kwa maneno tu...ukianzisha dirty discussion kwenye simu afu yeye yuko na mtu pembeni lazima ajione mdogo na aume ume maneno.

Mi napenda huo utamaduni aisee...it makes me feel confident.

yanamuhakikishia mtu kuwa kwa wakati wowote na muda wowote akikuambia uyaseme unayasema,uwezekano wa ku cheat ni mdogo na kama una cheat basi aliye pembeni yako kwa wakati huo yaani mwizi ajijue yeye ni mwizi tu,yupo mmiliki halali!na ni maneno ya kawaida kutumika ktk mahusiano ya ndoa,mimi huwa naamini hata kama mume anataka kuiba kwa wakati ule anapoyatamka,kwanza yanaweza kumkera hawara aliyenae,na pia yanamrejeshea fahamu mume /mke ya kukumbuka anachotaka kufanya ni dhambi!
 
Back
Top Bottom