CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mu-hali gani wana MMU, mie hapa buheri wa afya,
Juzi kati nilikuwa maeneo flani, meza iliyofuata waliketi watu wanne. Kati yao walikuwa wanawake wawili na wanaume wawili. Ni watu wa makamo hivi. Mara moja wale wababa akapigiwa simu na mkewe, akapokea. nahisi mke alimuuliza uko wapi? mume akajibu nipo mahali flani na rafik yangu Evance na shemeji yani mke wa Evance. sijui mke alimwambia nini but mume akajibu "nakupenda sana mke wangu na akakata simu"
swali je hayo maneno yanatosha kukuridhisha kuwa mumen/mkeo yupo mahali salama???
Juzi kati nilikuwa maeneo flani, meza iliyofuata waliketi watu wanne. Kati yao walikuwa wanawake wawili na wanaume wawili. Ni watu wa makamo hivi. Mara moja wale wababa akapigiwa simu na mkewe, akapokea. nahisi mke alimuuliza uko wapi? mume akajibu nipo mahali flani na rafik yangu Evance na shemeji yani mke wa Evance. sijui mke alimwambia nini but mume akajibu "nakupenda sana mke wangu na akakata simu"
swali je hayo maneno yanatosha kukuridhisha kuwa mumen/mkeo yupo mahali salama???