nakupenda mume / mke wangu

Na unaweza kumkamata cheater kwa maneno tu...ukianzisha dirty discussion kwenye simu afu yeye yuko na mtu pembeni lazima ajione mdogo na aume ume maneno.

Mi napenda huo utamaduni aisee...it makes me feel confident.


Dirty discussion lol
 
Kwa case ulozungumza wewe mi naona hayo maneno yana maana kubwa sana. Its good ukiwa na jamaa anayeweza ku declare publicly feelings zake kwako.

Ningechukia angesema "me too"

Mimi wa hivyo anakuwa keshaniloga walahi. Napenda kweli maneno matamu, hasa yakitamkwa adharani.
ni bora sana kuliko mimi pia au angesema asante
 
nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?
 
Last edited by a moderator:
mmmh, uchakachuzi na maneno haya hadharani wal hayahusu.

Ukikutana na gwiji, utaimba heleluya!
 
Mobile phones ni janga la dunia!!! Limeua familia, ndoa, mahusiano mengine, wizi and all evils/crimes you can think of. Mwingine alikuwa Cine Club na kidosho halafu mke akapifa akamwambia niko Tegeta!!!
 
nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?
Kwani ukimwambia kuna tatizo gani? Unaogopa watu watakufikiriaje?Au wewe mwenyewe hutaki kukubali hilo mbele ya watu?
 
Last edited by a moderator:
Umeona. eeh

Kumwambia mtu nakupenda sana kwenye simu kuna ugumu au uzito gani? Asojua kama karibu kila mtu ana mpenzi nani? Cha hajabu kitu gani?

Kama nimeweza kupokea simu niko huru kuongea chochote. Nasema kuweza kupokea simu kwa maana kuwa kama kuna kikao labda na maboss ni obvious siwezi kuongelea mapenzi kwa kuwa siwezi kupokea simu at first place.

Lakini kama nimeweza kupokea...najiachia tu mradi situkani mtu (in case kuna mwenye interest ya kufuatilia mazungumzo yangu).

Neno kupenda mbona ni simple sana. Mimi mbona hata wanangu nikiongea nao kwenye simu lazima niwaambie nawapenda...sasa kama kuna anayeshangaa itabidi anizoee tu.


Kwani ukimwambia kuna tatizo gani? Unaogopa watu watakufikiriaje?Au wewe mwenyewe hutaki kukubali hilo mbele ya watu?
 
Hapo kwenye bold ni kuwa unakosea sana. Utakuwa unampa wakati mgumu mpezio kama akikwambia nakupenda jibu linategemea uko na nani. Je unaona aibu jamii kujua kuwa unampenda mumeo? Why? Je unampenda kweli?

Unajua kuna couples ambazo kila mtu anaona aibu kuongozana na mwenzie; nini kusema nakupenda. Je wewe ni mmoja wao? If not say it; make him proud; make him feel you are also proud of him!

nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?
 
Mi napenda sana mtu anayeonyesha upendo kwa mpenzie...si kulalamika tuuu.

Yani huwa nafurahi utadhani nimependwa mie.

Niliwahi kuwa na ofisi mate mmoja wife wake alikuwa anamletea lunch mumewe ofisini...it was so sweet. Na huyu jamaa ukisikia anavyomsifia wife utapenda...sa ingine napewa kuonja mapishi ya mamaa...utasikia ukiwa na muda njo wife akufundishe kupika. hapo umesifia msosi.

Wanaume wa hivi ni wachache sana these days. wengi wanaona ku show love ni udhaifu.

Yule baba ilikuwa siku haiishi hajamuongelea wife wake (positively of course).

Hata watoto wa familia kama hizi watakuwa replica ya wazazi wao...si kama vijana wa humu JF wanaoogopa ndoa. Lol.

YES and NO.

Anaweza akawa na kimada bado akatamka hayo maana kimada haogopeki na wengi wao hua wanajulishwa kabisa kuwa mwenye nyumba yupo.

Au. . .anaweza akawa anamaanisha na wala haoni ugumu kutamka hivyo mbele ya watu kwasababu anajivunia wewe kuwa mume/mke wake. Hii ya pili ni raha sana. Hata pale anapokuwa haishi kukusifia/sema anavyokupenda kwa watu wake wa karibu wakati wewe haupo. Unaishia kuambiwa tu siku ukikutana nao.
 
Na unaweza kumkamata cheater kwa maneno tu...ukianzisha dirty discussion kwenye simu afu yeye yuko na mtu pembeni lazima ajione mdogo na aume ume maneno.

Mi napenda huo utamaduni aisee...it makes me feel confident.

ni utamaduni mzuri sana.
 
nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?

ukitaka kuijachia na maamuzi tu. Inabidi uwe na confidence na mwenzi wako.. as long as ni wa halali. Ugumu uko wapi kusema NAKUPENDA mume/mke wangu. La muhimu isiwe umekwamisha huduma flani mfano ktk eneo la kazi watakushangaaa... but mpo tu mnazungumza au hakuna committment yoyote kubwa.. aaaaaa nasema bwana kwani BEI GANIIIII????
 
Back
Top Bottom