No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,816
hata ungekuwa huna dini ukiwa na pesa huwezi kukosa mkenahisi wameona inaanza kuwa jioni hakuna aliyegonga mlango
hata ungekuwa huna dini ukiwa na pesa huwezi kukosa mkenahisi wameona inaanza kuwa jioni hakuna aliyegonga mlango
jonas amos upende kuvaa original na wewe bana...mitumba tutawapelekea wazunguMasikini Dada wa watu sasa anyway Nipe namba yake nijue namfariji vipi
ok tunaianzaje weekendAahh,mkuu nnalo basiiii...
hahahahahajonas amos upende kuvaa original na wewe bana...mitumba tutawapelekea wazungu
Umepita muda gani toka wajomba wakumwage?nahisi wameona inaanza kuwa jioni hakuna aliyegonga mlango
Aiss usimuuze huyo binti wacha atafutwe naturallysawa utaikuta pm![]()
![]()
siwez kumuuza mkuu hiyo danganya totoAiss usimuuze huyo binti wacha atafutwe naturally
Usharudi bongo kwani?ok tunaianzaje weekend
ni kama mwaka 1 na miez 3Umepita muda gani toka wajomba wakumwage?
hapanaUsharudi bongo kwani?
Aiss huenda itakuwa kahangaika kupata replacement imeshindikana...na huenda hata wajomba hawasalimiani kwa sasani kama mwaka 1 na miez 3
dah nahisi inamuumiza sanaAiss huenda itakuwa kahangaika kupata replacement imeshindikana...na huenda hata wajomba hawasalimiani kwa sasa
Kwa hiyo unafurahi sio. Ungemjibu kwanza kabla ya kufungua huu uzi ungepungukiwa nini. Umefanya kama ni mwanamke aliyekusaliti na mtu mwingine.dah nahisi inamuumiza sana
sifurahii mkuu nashukuru kwa ushaur wakoKwa hiyo unafurahi sio. Ungemjibu kwanza kabla ya kufungua huu uzi ungepungukiwa nini. Umefanya kama ni mwanamke aliyekusaliti na mtu mwingine.
Pamoja mkuu, nashukuru kwa uelewa wako pia.sifurahii mkuu nashukuru kwa ushaur wako
nashukuru kwa ushauri lakini malaya na walevi hata huko kwetu wapo, nenda katembelee,uwanja wa fisi,kimboka, dar live,ambiance, kangaroo, samakisamaki, ohio, itigi, kahumba, vibers, kilimani, 84 etc halafu niletee mrejesho kuna wazulu wangapi humoHao wazulu kimeo!,walevi na umalaya...lkn mbaya zaidi ulifanya maamuzi ya haraka mno....nadhani nafasi yenu kuyajenga mapenzi yenu bado ipo...Hujachelewa.
kwa jinsi ninavyochat nae anaonekana yupo kwenye kipindi kigumu sanaDuh!!
Najaribu ku-imagine binti atakuwa katika stress gani kwa sasa...