Nakupenda japo yalitokea!

Nakupenda japo yalitokea!

Nampenda sana mpenzi /laazizi /muhabati wangu hakuna kama yeyee,nampenda mpaka najishangaaa aiseee
 
Nakupenda sana mfalme wangu.. Mungu abariki kila lengo lililo ktk kamoyo kako!
 
Du! Hi kali.ok cmpendi sna mwenye hi no 0764endingwith 459.p
 
mmmmhhhhh!!! nakupenda lakini naogopa kukwambia, ila unajua kuwa na kupenda coz matendo yangu, macho yangu yanapokuangalia yanasema hivo, sauti yangu ninapoongea na wewe inatamka kuwa nakupenda iliyobakia ni kukushika mkono tuu tuongozane ufukweni mwa bahari mwendo mdogo mdogo wa kuongea na kucheka.
Me love you ..... dash dash dash (.......) mtu wangu wa nguvu!!!

Are we messing with the same guy?
 
Nakupenda sana wewe, ndio wewe.
Najua unavumilia mengi juu yangu, but uko nami siku zote na utakuwa nami.
Ahsante kwa upendo wako wa dhati.
 
Nakupenda ,nakupenda ,nakupenda mrembo miss chagga.Mola azidi kukujalia ili uendelee kuwa ua zuri la hii dunia
 
Back
Top Bottom