Nakupenda japo yalitokea!

Nakupenda japo yalitokea!

....nakupenda! sina haja ya kukutaja unajua mwenyewe!
 

Attachments

  • 1395811792851.jpg
    1395811792851.jpg
    55.9 KB · Views: 258
Last edited by a moderator:
Naona "kuwa happy sambaza upendo" imehamia hadi huku MMU
 
Kwani huyu aliyemtaja Tuko unajua jinsia yake?

Huyo Jawailat ni wa kike mtoto wa kimanga huyo, sasa huyu Tuko nilitaka nifahamu manaake nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike alikuwa anaitwa Tuko kwa kirefu ni (Tukoswile) mtoto wa kinyakyusa, ndio maana nikauliza, sio kwa ubaya lkn
 
Last edited by a moderator:
Huna haja ya kuomba samahani kwani kuuliza sio ujinga (especially unapouliza watu matured emotionally kama mimi). Mimo ni ME...
SawaTuko
hamna shida mkuu nilitaka nifahamu tu manaake nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike alikuwa anaitwa Tuko kwa kirefu ni (Tukoswile) mtoto wa kinyakyusa, ndio maana nikauliza
 
Last edited by a moderator:
mmmmhhhhh!!! nakupenda lakini naogopa kukwambia, ila unajua kuwa na kupenda coz matendo yangu, macho yangu yanapokuangalia yanasema hivo, sauti yangu ninapoongea na wewe inatamka kuwa nakupenda iliyobakia ni kukushika mkono tuu tuongozane ufukweni mwa bahari mwendo mdogo mdogo wa kuongea na kucheka.
Me love you ..... dash dash dash (.......) mtu wangu wa nguvu!!!
 
Oooops! Nakupenda sana japo sikutaji jina lakin najua unajitambua kuwa nakupenda najua kwasasa upo busy na maombi ni jambo jema.
 
Back
Top Bottom