Nakupenda japo yalitokea!

Nakupenda japo yalitokea!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,902
Reaction score
9,323
Sioni kama hapa naweza kuwa na maneno yakukwambia kwani nikisema niongee nitakuwa namaliza bandwidth ya watu! maelezo muhimu ni kichwa cha habari.Maswali hayatajibiwa! ila ushahuri utapokelewa! Je bila ya kutaja yaliyotokea/yanayokutokea katika mahusiano yako je unamtu unataka umwambie ujumbe huu kama ndiyo weka maneno yako ili ajue kuwa bado upo naye/na bado unampenda.Funguka mimi nimeisha sema.
 
Hahahaaa, love u my daktareeeeee!
 
Ha ha ha haaaa
Hapa ndo mahali pake haswaa
Love u sana mwanasiasa chama, mwaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi Tuko
wew ni wa kike au wakiume??, samahani lkn

Huna haja ya kuomba samahani kwani kuuliza sio ujinga (especially unapouliza watu matured emotionally kama mimi). Mimo ni ME...
 
Last edited by a moderator:
Huna haja ya kuomba samahani kwani kuuliza sio ujinga (especially unapouliza watu matured emotionally kama mimi). Mimo ni ME...

ewalaaah.........!bora umemwambia..inawezekana jamaa aliandaa siku aivamie pm yako!!
 

Attachments

  • 1395809694908.jpg
    1395809694908.jpg
    115.3 KB · Views: 458
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom