Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mi mbona nipo sana tu. Tunapishana tu hum kwenye mitaa ya Jfmaweeeee...haya, case closed!
Ulipotelea wapi wewe???!
Mi mbona nipo sana tu. Tunapishana tu hum kwenye mitaa ya Jfmaweeeee...haya, case closed!
Ulipotelea wapi wewe???!
Niwe nayo ya kazi gani?
hahahahahaha,haya mkuuDuh eti leo ndo nimeelewa comment yako..uzee huu.
kwanini uliingia mwili na roho kwani ilikuwaje mkuu..angalau saivi nikisoma najua ni fiction. Ile nyingine niliingia mwili na roho.
nani kakwambia ana 32 umemuongezea ana 31 sikoseiiHuyu jamaa ni story teller tu, sidhani kama analeta uhalisia wa maisha binafsi. I bet he's under 32yrs of age.
hizi ni simulizi tu za kutunga hujui kuwa huyu ni story teller?Ingawa me n mgeni,ila nlikuwa naingia ilaa ile nyingine nilitoa machozi!!
Hapana, niruhusu nichague wa kunikagua.Kama si yeye basi mimi mwenyewe...!!!
YEEEES! atoto wangu kamaliza mgomo wake wa kunichunia... sasa bado mpwa wangu geniveros!! Wallah inabidi sasa niwe na marafiki wa kada mbalimbali ili siku ukiwapa vitasa hawa; wakikuchunia unabaki na wengine!! Nimekoma kuwa na marafiki walimu peke yake! atoto unafahamu ma-lawyer na manesi humu nipange nao urafiki ili niwe na substitution ikitokea siku nimewapa vitasa tena halafu mkanichunia?!
Hapana nimeghairi.Mi nilikuwa natania tu, njoo nikukague bhana! Vp nije chumbani?
