Nakumbuka: Part II

QUIGLEY , njoo ufanye summary unisimulie baadae bae..

Live your name.

..angalau saivi nikisoma najua ni fiction. Ile nyingine niliingia mwili na roho.

Pole sana mpwa, sikuwa na maana hiyo!


Hivyo tu yani!??

Mkuu nimechoka hata kuisoma ngoja nilale niamke

Was it that boring mkuu?

Ndefu kinoma ila hongera xn baba

Hope umejifunza kitu though...

Sasa wewe mentor ina maana rika lako ni la akina samweli sita


Inabidi JF kuwe na kitufe cha kuonesha walau rika la mtu, nastahili shikamoo yako!

Ingawa me n mgeni,ila nlikuwa naingia ilaa ile nyingine nilitoa machozi!!

Pole mkuu...

Huyu jamaa ni story teller tu, sidhani kama analeta uhalisia wa maisha binafsi. I bet he's under 32yrs of age.

Mbona tunanyimana shikamoo mpwa? Nimekula chumvi za kutosha mkuu...

Part 1 iko wapi mtani

Mi sweet mangi wako bado unaniita mtani tena..

eniwei - Nakumbuka ya kwanza hii hapa: Nakumbuka...
 
'' nimesema foleni nyie mnazunguka tu hii tabia mliyo nayo ya kuobey order ya sameja leo lazima mlipie'' JKT hatari sana
 
Mwisho mzuri, halafu ni jambo la kumshukuru Mungu maana wengi hawapati bahati hiyo, itakuwa ni sala (Uchamungu wa wazazi) umesaidia 'Mentor' akaishia mwisho mzuri.
 
Imebidi tu nipacopy hapo uliponukuu. Thanks
Ahahah nakupendaga bure...
isidingo type
Mentor never writes from the air...
'' nimesema foleni nyie mnazunguka tu hii tabia mliyo nayo ya kuobey order ya sameja leo lazima mlipie'' JKT hatari sana
Ahahaha mkuu usinikumbushe them days....unaambiwa uandike 'esiara' unadhani ni terminology ya kijeshi kumbe wapi.

Au 'mustin' kumbe walimaanisha 'mess tin'

good old days.
Mwisho mzuri, halafu ni jambo la kumshukuru Mungu maana wengi hawapati bahati hiyo, itakuwa ni sala (Uchamungu wa wazazi) umesaidia 'Mentor' akaishia mwisho mzuri.
It never happens to everyone I agree madam...so iwe funzo kwa ambao wanatabia ya mentor kujiepusha mapema...I was an exception, you may not!
 
Ahahah nakupendaga bure...

Mentor never writes from the air...

Ahahaha mkuu usinikumbushe them days....unaambiwa uandike 'esiara' unadhani ni terminology ya kijeshi kumbe wapi.

Au 'mustin' kumbe walimaanisha 'mess tin'

good old days.

It never happens to everyone I agree madam...so iwe funzo kwa ambao wanatabia ya mentor kujiepusha mapema...I was an exception, you may not!
Nakupendaje pia... Unatumikaga kunigusa mnooo, basi tu. Ubarikiwe hadi ushangae
 
Back
Top Bottom