Nakumbuka: Part II

Nakumbuka: Part II

Kwamba siku hizi umehamia Siasani? au JLW???



Ahahah am vere solee..nimewachanganya sijui na nani sasa...



Babu huduma iwe eksitendedi kwa atoto pia!
Siasani nikafanye nini rais keshasema siasa hadi 2020
 
huwa nashangaa watu wanaosema hii habari ndefu sijui fanya ufupisho

kesho wanalalamika mikataba mibovu bila kujua walio tia sahihi walikuwa na tabia kama zao za uvivu wa kusoma.

sasa ungeshusha kwa lugha ya malkia kweli watu wangesoma...
 
Back
Top Bottom