Nakumbuka: Part II

Nakumbuka: Part II

Mentor never writes from the air...



Mentor never writes from the air...



Duh kwahiyo kina Kongosho na yule kisauti rafiki yake gfsonwin mlitalikiana!??? Hawa kina geniveros si sawa na wajukuu zako kabisa??? saizi yangu kabisa...

In other news: atoto....

Mwalimu snowhite shikamoo tena,
Nakupenda pia! Bado unakwepa kutoa lekcha....
Nashindwa kutambua wewe ni kijana gani ulie na fani ya sayansi ya komputa ambae siku kadhaa ulisema umeambukizwa ukimwi na pia ulikua hujaoa kwa sababu ulikua unamalizia ujana.
We naona ni mtunga stori tuu, kijana kweli toka mwaka 1961??
 
Nashindwa kutambua wewe ni kijana gani ulie na fani ya sayansi ya komputa ambae siku kadhaa ulisema umeambukizwa ukimwi na pia ulikua hujaoa kwa sababu ulikua unamalizia ujana.
We naona ni mtunga stori tuu, kijana kweli toka mwaka 1961??

Age is but a number...! You are as old as you think.
 
Alaah kumbe "hainaga ujukuu..." [HASHTAG]#swadakta[/HASHTAG]



Mh hivi kati yako na Khantwe ni nani ndo hajaanza!?? Usinifanye nianze kufukunyua sredi za nyuma..leo kanisani saa nne!!!



Asante mama kumbe unawafahamu...huyu jamaa kanipa comment ya kunitega kwelikweli!!!
Mnadiskasheni nini hapa
 
Back
Top Bottom