Mbowe yupo magotini mwa samia anaomba lissu auliwe kwa namna yoyote ile niaminini mimi ..ninacho sema ...kama lissu akifa basi ni ndani ya siku tu... mbowe atajitokeza na kuonekana nchi nzima.Mbowe anatakiwa aite waandishi wa habari akemee utekaji wa Chadema
Huna adabu..unahisi Mbowe ndiye aliyemshikilia Mdude? Lisu kashikiliwa na serikali kwani uliwahi kumsikia Samia akikemea popote?Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Ili akianza kusemasema, mseme anaitaka saccos yake?Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Umesahau kusema alifurahia kifo Cha Jiwe!!Mbowe hana uchungu wowote na Chadema
uko sahihi gentleman 🐒tl ni mbisafisi sana
Najuta kukupingaWakati tunaimba humu kuwa mbowe ni
laanaUmesahau kusema alifurahia kifo Cha Jiwe!!
muhuni mlitupinga kwa nguvu zote nilipo sema kifo cha ben saa 8 mbowe ni mtuhumiwa no moja watu mkabisha sana ...nilipo sema kuwa baada ya kifo cha jpm, mbowe hataki hata kusikia jina la ben saa8 tena ukilitaja katibu yake anaweza kata kukupiga makofi ...mkapinga mkasema mimi ni muongo.
Laana inatafunaUmesahau kusema alifurahia kifo Cha Jiwe!!
hana tabia ya uropokaji huyo muungwana gentleman kama uongozi mpya wa Chadema 🐒Kukemea watu wasitekwe ni kuhujumu uongozi wa Chadema?
Hapana. Dozi ya matusi mliyompa inamtosha, mwacheni aheal kwanza. Wakati mnahemukwa pamoja na wana diaspora kwa kila kebehi na matusi hamkujua kuwa mngemhitaji? Unataka aseme kitu halafu muanze kumshambulia tena? Hapana aisee. Kama atatafsirika kuwa ana chuki, acha iwe hivyo. Hamna shukrani ninyi.Kiongozi mstaafu unaona chama na viongozi wake wanashambuliwa kila kona halafu wewe unakaa kimya!. Hii ni roho mbaya na ukosefu wa uchungu kwa chama.
Huenda Mbowe anajipenda yeye zaidi kuliko CHADEMA.
Ha
Hapana. Dozi ya matusi mliyompa inamtosha, mwacheni aheal kwanza. Wakati mnahemukwa pamoja na wana diaspora kwa kila kebehi na matusi hamkujua kuwa mngemhitaji? Unataka aseme kitu halafu muanze kumshambulia tena? Hapana aisee. Kama atatafsirika kuwa ana chuki, acha iwe hivyo. Hamna shukrani ninyi.
Mwanasiasa gani anaogopa spana?.
Kama anaogopa spana namna hii alipogombea urais mwaka 2005 alifikiria ukiwa rais ni lelemama?
Samia na Mbowe lao mojaHuna adabu..unahisi Mbowe ndiye aliyemshikilia Mdude? Lisu kashikiliwa na serikali kwani uliwahi kumsikia Samia akikemea popote?
Kumbe mlikuwa mnatania, yeye kamaanisha sasa. Acheni kumlaumu. Mlimframe Lissu kama suluhisho la kila tatizo la Chadema. Haya yupo ofisini, msaidieni kama mlivyomsaidia wakati wa kampeni zenu chafu. By the way Maria Sarungi yuko wapi?
Uko sahihiLissu yuko jela
Halafu Mbowe bado ni kiongozi wa chama kwa nafasi ya kamati kuu kama mjumbe wa kudumu, bado ana role ya kuplay kwa mujibu wa katiba ya chadema.
Analo jukumu la kukilinda na kukipigania chama
wewe ni zaidi ya mwehu;Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote
Umkome, nyie juzi tu mlikuwa mnamdhalilishaUmekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.