Unataka upokelewe na jinsia ya kiume? ama hata sisi wadada tunaweza kukupokea? Karibu sana ghetto la kike
Aah ghetto wanaishi wabaya? Basi ujue am of that type mkuu, karibu ghetto pia mkuu. Njoo uone wabaya tunapoishi
Kwani tafsiri ya gheto ni ipi?
Uko sahihi.Kwani tafsiri ya gheto ni ipi?
Me navyojua getho ni makazi ya mtu ambaye hajaoa ama kuolewa.Hata kama ni nyumba nzima ama single self, double self etc.Au mimi sielewi?
😳😆🏃🏾♂️Aah ghetto wanaishi wabaya? Basi ujue am of that type mkuu, karibu ghetto pia mkuu. Njoo uone wabaya tunapoishi
UfusikaKesho nasafiri from Mwanza to Dar then Zanzibar
Wanajf mliopo hayo maeneo naomba mnipokee kwa upendo na amani ikiwa ni pamoja na kufahamiana
Ukiwa hapa dodoma simama nikupe lunchKesho nasafiri from Mwanza to Dar then Zanzibar
Wanajf mliopo hayo maeneo naomba mnipokee kwa upendo na amani ikiwa ni pamoja na kufahamiana
Nadhani ni hivyo.Kwasababu ukioa ama kuolewa inakuwa inaleta ukakasi pale unaposema naenda getho.