kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Nimekuwa nikiumwa tumbo sana sielewi tatizo ninini.Nimetumia tiba mbalimbali kama dawa za minyoo na za typhoid lakini sijapona hapa mwananyamala naona wananisumbua au wanabahatisha tu.Nimekuwa nikiharisha mara chache sana ila tumbo limekuwa likiunguruma.Naombeni ushauri wakuu maana naona nakufa.