Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Mimi nimekubali kabisa tena kwa moyo mkunjufu serikali mbili.
Napendekeza hizo serikali mbili ziwe kama ifuatavyo
SERIKALI YA TANGANYIKA
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
Nadhani kwa muundo huu kutakuwa hakuna kelele tena kwa sababu kila mtu atakuwa bize kivyake....
Mimi nimekubali kabisa tena kwa moyo mkunjufu serikali mbili.
Napendekeza hizo serikali mbili ziwe kama ifuatavyo
SERIKALI YA TANGANYIKA
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
Nadhani kwa muundo huu kutakuwa hakuna kelele tena kwa sababu kila mtu atakuwa bize kivyake....