Ibudigital
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 323
- 653
Habari zenu waheshimiwa!
Nakodisha gari (Toyota Noah - 2005 Model) naikodisha siku yoyote utakayoihitaji, labda tu iwe imekodiwa na mtu mwingine. Naikodisha kwa ghrama tofauti kulingana na siku, ni ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam tu;
Nakodisha gari (Toyota Noah - 2005 Model) naikodisha siku yoyote utakayoihitaji, labda tu iwe imekodiwa na mtu mwingine. Naikodisha kwa ghrama tofauti kulingana na siku, ni ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam tu;
- Jumatatu - Alhamisi: Tsh 130,000/= kwa siku
- Ijumaa - Jumapili: Tsh 250,000/= kwa siku
- Jumatatu - Alhamisi: Saa 12 asubuhi (06:00 AM) hadi saa 2 usiku (20:00 PM)
- Ijumaa - Jumapili: Saa 2 asubuhi (08:00 AM) hadi saa 6 usiku (00:00 AM)
- Dereva ni wangu
- Mafuta naweka mwenyewe
- Gari ina AC safi mno!
- Gari ina bima kubwa
- Utaletewa gari safi
- Dereva mwenye nidhamu
- Siikodishi kwa kazi ya dala dala
- Inabeba watu 6 ukiachana na dereva