Mkuu pole Sana,hakika Mwenyezi yu nawe.yataisha tu
Story yako imenikumbusha story yangu na rafiki yang wa kike nilipokuwa nyumbani.Yule dada alipenda Sana kuja getho kwangu na kweli sikuwai kutembeanae na hakuwa mpenzi wangu,ilikuwa Ni story za hapa na pale Tu.
Sasa bdae yule dada alipewa ujauzito sijui na jamaa gani tu,ile nyumbani kumbana Sana ikabidi yule dada atorokee kusikojulikana,mi aliniambia anaondoka,ILA hakusema anakokwenda
Aisee kila mtu aliamini mi ndo muhusika mkuu,nashukuru Baba wa mimba ile alijipeleka mwenyewe nyumbani kwa yule binti.HAKIKA NI MUNGU TU