MHeshimiwav3
Member
- Feb 29, 2016
- 49
- 24
Hama mtaa
hofu yangu ni 1,,,,, kweli wewe ni rijali?????? huna demu wako???? kweli mwanaume mwenye urijali na mkomavu anaweza kusumbuliwa na kitu kama hiki???....duh eti alikuwa anakuja kuchukua CD.......acha wakusingizie tuu...wamekuona bwimbi.....
natumai hujazaliwa 1961..This is a bomb, microsecond away from being detonated.Na mimi kuna msichana(mwanafunzi) anasoma boarding yule mtoto akifunga shule geto kwangu hakauki na mamaake ni single mother kila mda yuko geto anavizia mda wa mother kurudi mida ya saa 20-21 ndo anatoka na hata jamaa anaye mgonga namjua lakini itakuaje siku yule mtoto amepata mimba??? na wapangagaji pale wote wanajua kwamba mtoto geto kwangu hatoki!! na sijawahi hata kumtongoza!!
hahahahah Ushimen ushimenKuna sehem umechanganya kidogo.
Kwani huyo unae muita mlemavu ni nani?
......
Here I'm comrade.hahahahah Ushimen ushimen
Ndilo jambo la msingi.Kapimeni DNA....
I can see Mkuu. big up sasa naona unasikilizia umeitiwa niniHere I'm comrade.
Nimeitika mkuu....
Najaribu kuzingatia mkuu, huu uzee inanipasa kua msikivu sana aiseeee......I can see Mkuu. big up sasa naona unasikilizia umeitiwa nini
mi mwenyewe apo pamenichanganya sjui mlemavu ni yupiKuna sehem umechanganya kidogo.
Kwani huyo unae muita mlemavu ni nani?
......
Tumia watu wazima wenye busara hapo hapo mtahani, waeleze kilakitu then wawakutanishe kwa mazungumzo ili mpate muafaka.mkuu nitaanza vipi kumfuata kumweliza hilo?