Rhobi1961
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 888
- 681
Na mimi kuna msichana(mwanafunzi) anasoma boarding yule mtoto akifunga shule geto kwangu hakauki na mamaake ni single mother kila mda yuko geto anavizia mda wa mother kurudi mida ya saa 20-21 ndo anatoka na hata jamaa anaye mgonga namjua lakini itakuaje siku yule mtoto amepata mimba??? na wapangagaji pale wote wanajua kwamba mtoto geto kwangu hatoki!! na sijawahi hata kumtongoza!!