mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
Nakodisha punduki mkuu
Thanks, you have spoken my mind. Dawa ya jeuri ni kuwa jeuri zaidi yake. Huyo si wa kuacha leo au kesho, akimwaga mboga unamwaga ugali.Mmmmmmmmh! *Covers face from shame!*
Huyo dawa yake wala si kukibia na kumuachia jiji ajitanue! Dawa yake ndogo sanaaa! We tafuta nyumba ndogo hapo hapo jirani utiize ule usemi ULIKIONA CHA NINI, WENZIO WASEMA WATAKIPATA LINI? Atanyooka kama nguo mbichi iliyopigwa pasi!
I realy do feel mercy for the kids! Wataisoma namba, chezea baba wa kambo na mama wa kambo!
hata huo ushauri wa lara 1 bado sijauafikiNdoa hizi? Mmh!
Aisee kama hajawahi kukubamba unamcheat, i hate to say this lakini fuata ushauri wa mdogo wangu lara 1. Buy time na hela ikirudi usome upepo. Dawa ya jeuri ni kiburi.
huu ushauri unaompa utafikiri ni rahisi vile,watu tuna emotions tofauti.
Wadau nashukuru sana kwa michango yenu. Nimepata faraja sana. Nawashukuru sana wapendwa.
Kingine nikwamba,..jambo likitokea hua mstari wa mbele kuwapigia simu wazazi....na kuweka chumvi nyingi sana. Hatimaye wazazi huniona mimi mbaya sana.....na kuanza kunishambulia....Hasa Mama yangu. Hii kwakweli inaniuma zaidi na zaidi. Kuona Mama yangu bila kusikiliza upande wangu anakuja juu. Na wazazi wake nao hawamshauri kitu chochote kitu ambacho anaona sahihi kwa anayofanya.
Mfano sasa ivi....mzazi wangu anataka aje kwenye familia yangu. Aniondoe hapa kwa lazima....nisije nikamuua mtoto wa watu koz matukio yamekua mengi na wanahisi naweza kumuua. Sielewi kwa kweli....
Nyie wanawake nawaheshimu sana aisee. Mi naona kabisa wanaowaua wapo sahihi. Nimekosa bastola tu hapa. Ila ningeua. Au naweza kuua kwa kumtoboa toboa na kisu tumboni. ...issue ikaja upande wangu ntajimalizaje haraka haraka.