Binafsi nakerwa Sana nikiangalia wanawake hasa Azam TV kwenye kipindi Cha sinema zetu.
Wanawake wengi wameamua kuweka KOPE za bandia katika macho yao.
Nawakumbusha tu HAMPENDEZI NA NI ATHARI KWA MACHO YENU SIKU SIO NYINGI
Kwani Nani aliyewambia kwamba m apendeza?
Wanawake wengi wameamua kuweka KOPE za bandia katika macho yao.
Nawakumbusha tu HAMPENDEZI NA NI ATHARI KWA MACHO YENU SIKU SIO NYINGI
Kwani Nani aliyewambia kwamba m apendeza?