Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,532
- 8,279
- Thread starter
- #41
Miaka 15Mwaka na nusu?
Miaka 15Mwaka na nusu?
Wengine wanahamasishana kwenye magroup yao eti wasitutafte kwani huko ni kujipendekeza! yani nakereka nikiona jinsia KE.Afadhali hata wewe hukuti hata missed call Wala sms na ulipiga anapokea, wengine hata tukipiga hawapokei kabisa
Salio ume muwekea.?Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
Wanaume hatufanyi tukitegemea pongezi wala kukumbukwa,tunafanya kwasababu ni WAJIBU.Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
Kuna wakati unaona kabisa sababu za msingi za malalamiko hata hakuna..Kwamba usingekuwa na mke usingekuwa unafanya kazi? Mkeo ni mtoto hadi ufanye kazi kwaajili yake?
Ya’ll grow up!
Anza wewe kuwa unamjulia hali na yeye atajifunza. Hata yeye anatamani mtu wa kumjali lkn unajifanya upo busySawa, natakiwa kufanya kazi, lakini simu yake tu, ama sms ya kunijilia hali na kunitakia kazi njema ingeniongezea morali nakunifanya niwahi nyumbani, ila sasa ndo hvyo tena.
Sure tangu nime gundua hilo nimeanza kuwa na amani na furaha anagalau.Mjomba, kama ni hivo kwanin upare mastress?
Kazi si umesema unafanya wewe? Ukitoka kwenye vichomi, pita kwa Ashura mwenye grocery, pata zako bia 3 baridi, potion ya mbuzi na kaugali ka ngumi, rudi nyumba ni toothpick mdomoni na ka mluzi ka kuzugia.
Haya maisha yapo tu, dont die trying to please others
Sio kujifanya bwana.Anza wewe kuwa unamjulia hali na yeye atajifunza. Hata yeye anatamani mtu wa kumjali lkn unajifanya upo busy
Hakuna caring ya upande mmoja hata siku moja.Sio kujifanya bwana.
Itabidi tubadirishane mkuu..Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
😂😂😂Pole mkuuYaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
Oneni huu udaga naoHivi kuna watu bado wanaoa tu karne hii! Jinga sana.
Ukitoka kazini pitia bar piga supu Yako heavy na soda/bia ya baridi nunua vizaga peleke home relax kama umezaa nae pambana for your kidsSawa, natakiwa kufanya kazi, lakini simu yake tu, ama sms ya kunijilia hali na kunitakia kazi njema ingeniongezea morali nakunifanya niwahi nyumbani, ila sasa ndo hvyo tena.