Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,384
- 4,357
Ukitaka hizo missed calls lundo na sms tafuta pesa, usitupigie kelele.
🤣🤣🤣So Hana maokotoUkitaka hizo missed calls lundo na sms tafuta pesa, usitupigie kelele.
Ndoa hiyo umelazimishwa au umeingia wewe mwenyewe kwa hiari yako??Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
Mwanaume umepewa akili, busara, na hekima ya jinsi ya kukaa na mwanamke! Unalialia nini! Hustle pambana mpaka utoke jasho la damu mwisho wa siku upeleke kwa mke wako ndo heshima yako! Sasa jifanye upeleki na uzingatie ushauri wa wapumbavu uone hata kama kesho utaamka na nguvu za kupambana!Mjomba, kama ni hivo kwanin upare mastress?
Kazi si umesema unafanya wewe? Ukitoka kwenye vichomi, pita kwa Ashura mwenye grocery, pata zako bia 3 baridi, potion ya mbuzi na kaugali ka ngumi, rudi nyumba ni toothpick mdomoni na ka mluzi ka kuzugia.
Haya maisha yapo tu, dont die trying to please others
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] maninaaa Bado ajasemaa yaan huyu mpk asemeee..Manyege yako tu na ubahili wa kutaka utelezi kila siku free of charge
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anafanya kazi amtimizie mkewe malengoHili suala la kusema unafanya kazi kwa ajili yake ndo sijaelewa we huna plans zako ina maana
Anapakia mizigo kwenye maroli pale kiwandani kwa Bakhresa, interpretation ya vichomi vya mbavu, mgongo na kiuno huelewi nini hapo we Ironbutterfly🤣🤣🤣So Hana maokoto
Atakuwa bndarini huyu,ndo huwa wanazima simu na kuziacha getini kwa mlinzi,so vimaokoto flani atakuwa navyo.
Hakika umesema kweli mkuu, ika wapumbavu wanavyonishambulia mpaka natamani kujificha.Mwanaume umepewa akili, busara, na hekima ya jinsi ya kukaa na mwanamke! Unalialia nini! Hustle pambana mpaka utoke jasho la damu mwisho wa siku upeleke kwa mke wako ndo heshima yako! Sasa jifanye upeleki na uzingatie ushauri wa wapumbavu uone hata kama kesho utaamka na nguvu za kupambana!
Hiki hivi: kwenye masumbwi anayepigana ni mwanaume! Anadundwa na kung'olewa meno na akisha tangazwa mshindi na kupewa mkanda, anachukua ule mkanda wa ushindi na kumkabudhi mke wake anaubeba na akiweza anauvaa wakati hajapigana! Akili kumkichwa kalaghabhao!
Hili jamaa.Anapakia mizigo kwenye maroli pale kiwandani kwa Bakhresa, interpretation ya vichomi vya mbavu, mgongo na kiuno huelewi nini hapo we Ironbutterfly
Yaani mm nashika hela naweka fungu langu kwanza pembeni la kula maisha, tena inaweza kuzidi hela ya kula ya familia nzima, yaani mi ndo nitafute kisha niunge unge no way[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anafanya kazi amtimizie mkewe malengo
Dah! kumbe huu ushauri umetolewa na jinsia tofauti na yangu? dah!Mwanaume umepewa akili, busara, na hekima ya jinsi ya kukaa na mwanamke! Unalialia nini! Hustle pambana mpaka utoke jasho la damu mwisho wa siku upeleke kwa mke wako ndo heshima yako! Sasa jifanye upeleki na uzingatie ushauri wa wapumbavu uone hata kama kesho utaamka na nguvu za kupambana!
Hiki hivi: kwenye masumbwi anayepigana ni mwanaume! Anadundwa na kung'olewa meno na akisha tangazwa mshindi na kupewa mkanda, anachukua ule mkanda wa ushindi na kumkabudhi mke wake anaubeba na akiweza anauvaa wakati hajapigana! Akili kumkichwa kalaghabhao!
Mkuuu wengineee wanajidai wanajali familiaa Kwanzaa kuliko wao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yaani mm nashika hela naweka fungu langu kwanza pembeni la kula maisha, tena inaweza kuzidi hela ya kula ya familia nzima, yaani mi ndo nitafute kisha niunge unge no way
1.5Ndoa ins miongo mingapi mkuu!
Kiukweli najali kwanza hasa wanangu, ila sasa nakereka mahitaji yote yanapitia kwa mama yao! ujinga huu.Mkuuu wengineee wanajidai wanajali familiaa Kwanzaa kuliko wao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mwaka na nusu?