Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,423
- 7,911
Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.
Yote hayo unajikaza maana kuna watu nyuma wanakutegemea.
Inafika mda wa kusign out, unaiendea simu yako kwa pupa huku ukijiambia nitakuta missed calls lundo na sms ya kumwaga kutoka kwa wife, Dah! unakuta cm inakuita tu wala hakuna cha sms wala chochote kutoka kwa wife ambae unapambana kwa ajili yake, unaishiwa nguvu na unaona umefanya kazi bure.
unamtumia sms eti na mimi najihesabia nina mke, dah!
Ndoa sitaki tena, utapeli huu.