kandamaalum
Member
- Nov 9, 2017
- 33
- 18
Naona chuo umeenda kuuza sura tuuuu.... Pole yko miaka yako ya kuwa chuo ni sawa na bure
We jamaa kosa si lako Bali ni mfumo tulionao sio rafiki na sio fikirishi. Kenya au Uganda ukimaliza high school wewe unaweza kupambana kimaisha, hapa kwetu ukimaliza degree unakuwa darasa la 7.Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima .
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu .
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani ,lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wau wana mwangaza kuliko mimi.
pole, umesomea chuo gani na course gani labda?Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima .
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu .
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani ,lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wau wana mwangaza kuliko mimi.
umesoma pharmacy tena chuo kikubwa namna hiyo na haujui ulichosomea, utawapaje watu dawa sasa? basi upelekwe milembe unaweza kuwa hujui kama wewe ni chizi.Pharmacy Muhas.
Mashamba yako mengi tu Mkuu wangu,Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima .
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu .
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani ,lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wau wana mwangaza kuliko mimi.
Acha woga Dogo hata maprofesa wetu wapo kama wewe chamsingi jifunze ujue English tu tayari utakuwa bonge la msomi kila MTU atakusujudiaKwa kukariri tu
Ni hapana mkuuapana