Yeezy 666
Member
- Dec 11, 2017
- 38
- 74
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.