Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

Elimu rahisi kwa muafrika kuielewa rahisi ni ya kichawi ila hii ya mzungu zinawachanganya
 
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.

Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.

Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.

Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.

Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
Umeenda chuo ili upata title? Are you an ass or something? With your kind of guys what should we the public expect from your lots. Hivi hudhani kuwa umewadhulumu wale wanafunzi ambao walikuwa na ambition lakini wakakosa mikopo kutokana na vijana wa aina yako? 'SHAME ON YOU'
 
Nimeshajua kitu kuhusu kukariri kwako,kuelewa kwako na kuretain , u have a complete photographic memory, watu wa aina hii wanasoma kwa kukariri kama picha vile na pia they can only remember better what they read and forgot about 90% of what the hear(from lectures, presentations, discusions),,,,mimi nilikuwa na memory kama yako, nilipofikaga second year nikafanya research about myself nikajitambua zaidi, nikajua nisome nini na nisomeje ili niweze kutusua, na kweli nikaweza kumaster understanding ya masomo yangu nikaanza kukumbuka vitu vizur hata baada ya mitihani, infact concepts zikawa zinabaki kichwani mpka wakawa wananishangaa.... Kitu ambacho nimeshindwa mpaka leo mpaka kesho ni kukariri muziki... Yaani nyimbo ikiimba hata mara elfu moja siwezi kukariri contects mpka nikaikaririe kwenye lyrics.

P. S: nilisoma civil engineering kwenye yale mambo yetu ya expansion joints.
 
Na kama ndio uko humu na akina nyani ngabu ,ndii kabisaa! Utatoka patupu pamoja na kua elimu yetu ni ya kukalili zaidi kuliko ubunifu.
 
still una muda wa kuamua kuwa makini na vile ulivyosoma na ukapata japo kwa kiasi ni kuamua kuwa unataka kuelewa na kusoma ukiwa unamalengo ya kuelewa na si kusomea mitihani , wenzio tunafukua madaftari na vitabu tulivyokuwa tumeviweka baada ya kuhitimu vyuo
 
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.

Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.

Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.

Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.

Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
Tatizo ni hiyo 666.Achana nayo.
 
sio wewe tu wengi hawajui kabisa sasa la kufanya ni hivi, kila subject lazima uangalie title ya kila somo kinasemaje na umejifunza nini mfano: Geography kati ya uliyosoma ni ramani ya africa sasa ulijifunza kuwa ramani ya africa ina nchi ngapi na nchi hizo zime zungukwa na mito au bahari hizo bahari zinaitwaje kwa uchache unaweza kwenda namna hiyo utakuwa una uelewa tu wa ulicho fundishwa.
 
Wewe utakuwa na matatizo binafsi, mbona wenzako wanapeta tu na wanaelewa!
 
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.

Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.

Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.

Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.

Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.




duuu..
 
Daaa nimechoka kabisa...huelewi unachosomea au coarse ndo ngumu???...pharmacy haijawahi kumwacha mtu salama...mbaya zaid upo muhas chuo kinachokubalika hapa tz kwa kutoa vifaa bora...aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...
 
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.

Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.

Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.

Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.

Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
mkuu wewe unabebwa, hufaulu kwa uwezo wako, hapa kcmc wamejaa type yako ila kwa upepo huu wataenda kuwatibu mama zao na baba zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom