Mkuu,
Mtu aliyefanyiwa hilo hana uwezo wa kumiliki simu ya zaidi ya 100K, sanasana ni Techno ya kawaida ambayo hata si smart-phone.
Lkn to her surprise alifowadiwa sms zote alizotumiwa na mtu mwingine, ambapo hao wawili hata hawajuani(actually ni competitors). Na hali hii imemfanya huyu dada aingie matatizoni kwa habari ya mahusiano.
The truth shall set you free. Can you handle the truth?Wakuu,
Kuna dada ananiambia kuwa mchumba wake alimwomba simu, akaifanyia kitu/utundu fulani, matokeo yake huyo jamaa amekuwa anapata nakala ya msg zote zinazotumwa kwa huyu dada.
Ninachotaka kujua je hiyo kitu inawezekana kwel? Kama kweli inawezekana mbona ni hatari sana kwa mahusiano?
Naombeni usaidizi kwa hili.
mkuu anatumia simu gan ungetoa details hizo tungeanzia hapo
Kama unamtafutia kisa cha kumuacha mkeo muingizie hiyo program ila kama bado unamuhitaji achana nayo.
Mkuu naiomba hii? Inapatikana madukani mwetu hii? Nataka tu nifunge kwa simu ya mamsapu ili ajua mimi niko clean!!! Ha ha ha!!