Yes, tunahitaji damu changa hizi!! Naamini utakuwa shupavu kama marehemu Amina Chifupa!! Ila tu siasa ni dirty game!!! Uwe makini!
Hivi karibuni Msanii Nakaaya Sumari aliamua kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kwa lengo la kufanya siasa.Pamoja nakujiunga na chama hicho lakini Nakaaya anatarajia kugombea Ubunge kwa lengo la kuwatumikia wananchi kwa njia ya siasa..Nadhani baadhi yetu tumeshamsikia akieleza nia yake hii..Kwa sasa yuko huko Arusha anajipanga namna ya kupambana..
HONGERA SANA NAKAAYA KWA KUAMUA KUTUMIA HAKI YA MSINGI... politics si rahisi na si nzuri sana hasa kama wewe ni muadilifu... it doesnt matter uko chama gani, lakini hypocrisy and politics are life-mates!!!
KAZA MSULI, SI LAZIMA USHINDE LAKINI SAPOTI IPO YA KUTOSHA... NOW, NAKAAYA AMEAMUA KUWA PUBLIC KWA KUWEKA NIA, JE ATAWEZA KUONGOZA WANANCHI WAKATI ANA BIFU HATA NA NDUGU YAKE WA DAMU?
TIC-TAC' THE CLOCK IS TICKING AND I WISH NAKAAYA ALL THE BEST
watu kwa kupenda njia ya mkato
Uyo mdogo wake ktk iyo picture apo juu si mchezo n kifaa
ila mimi uyo mrs politician ningemshauri aanze na udiwani