nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 361
WanaJF wenzangu mie nashindwa elewa hivi nini dhumuni la kupata elimu..mimi ni mmoja kati ya wahitimu maelfu waliomaliza vyuo mbalimbali TZ lakini kitu kinachoshangaza asilimia karibu 90 ya wahitimu wa vyuo hawana ajira ,je utumishi wa umma ambao wanadhamana ya kutangaza nafasi za ajira wanajua hlo au wanasubiri hadi vijibabu na vijibibi vilivyopo makazini vife(siombei) ndo tupate ajira ama?
Tusaidiane wapendwa ili kdunchu tupate afueni mana hadi muda huu tunajutia elimu zetu jameni,lol..
Tusaidiane wapendwa ili kdunchu tupate afueni mana hadi muda huu tunajutia elimu zetu jameni,lol..