hovyohovyo
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 547
- 157
Pole sana ndg. Kumwambia mkeo jambo kama hilo inataka moyo. Na hujui atareact namna gani. Hata hivyo, utauficha ukweli mpaka lini?? Na kama unavyosema, tayari dhamira inakusuta. Ushauri: tafuta mtu mzima unayemwamini, amweleze mkeo jambo hili na akuombee msamaha. Matokeo ya hatua hii, hayajulikani. Atakusamehe, ataamua kuachana nawe, atakusamehe lkn ataretaliate, atarevenge namna ganihaya yote hayajulikani. Tegemea huruma tu.
Kuna mzee namfahamu alizaa nje kama hivyo. Aliweza kuficha siri mpaka mtoto anamaliza form four. Ilibd mkewe akubaliane tu maana alikuwa ameshakuwa mtu mzima sana. So unaweza kuvuta kasi kidogo, mpaka mkeo atakapofika umri usio sumbufu. POLE SANA
Kuna mzee namfahamu alizaa nje kama hivyo. Aliweza kuficha siri mpaka mtoto anamaliza form four. Ilibd mkewe akubaliane tu maana alikuwa ameshakuwa mtu mzima sana. So unaweza kuvuta kasi kidogo, mpaka mkeo atakapofika umri usio sumbufu. POLE SANA