Najuta kuwa Admin wa group

Najuta kuwa Admin wa group

kichekoh

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2015
Posts
1,374
Reaction score
1,482
Habari za wakati huu,

Ndugu zangu kila kitu kina fa
 
Last edited:
Mwambie makavu kuwa unamtu wako au kama vipi nipe namba zake nikusaidie kustopisha umeniudhi sana how come mwanaume unamtu wako unapeperushwa kama uzi fyuuuuuu
 
Mwambie makavu kuwa unamtu wako au kama vipi nipe namba zake nikusaidie kustopisha umeniudhi sana how come mwanaume unamtu wako unapeperushwa kama uzi fyuuuuuu

Poa kk usiwaze ila cjajua utampeperusha vp?
 
Kwani anakufata wewe au ndugu zake? Kuna ubaya gani kuonana nae? Kama huna mpango wa kuwa nae kama mpenzi unamu entertain kwa chats na calls za nini?

Man up...draw the line!...
 
Ye anajua kua hauko single?? Kama anajua una mtu basi mfanye mlupo tu
 
Admin Wa WhatsApp Kwenye Group
Uwe Na Subira Ngojeni October Ccm Ikiondoka Madarakani
 
Shida iko wapi? Kwani kakwambia anakuja ili umgegede si kasema anataka muonane tu as friends. Sasa wewe mawazo ya nini kuwa utamsaliti. Shida ya nyie vijana mnadhani ukiwa na mwanake ana kwa ana ni mgegedo tu.

Dah umenaliza mkuu
 
Mapenzi "marahisi" utasikia anataka kuja,atafikia kwa ndugu zake,hahaa mbona hamsemi amekuja amefikia Hyatt Regency anataka tuonane,anyway si huwezi "kuwakataa" mkate kila mtu ajikate kivyake! Karibu.
 
Back
Top Bottom