Weee mlokolee etii alafu alikwambia anakuja kwako uje kumla uroda, than huko kushare mawazo ni kwa kuchat tu wakati mwengine live bila chenga akikutaka kuwa km km mwanaume mpotezee
Jf wakati mwingine hunifurahisha sana. Wao wanapenda migegedo tu. Wao wakisikia umegegeda roho zao kwatuu! Ila ukimpoteza demu wanakuona bonge la ----. Kwani maisha ni kugegedana tu. Kila kitu kina muda wake na kina mahala pake. Yapo mengi ya kufanya.
Mwambie makavu kuwa unamtu wako au kama vipi nipe namba zake nikusaidie kustopisha umeniudhi sana how come mwanaume unamtu wako unapeperushwa kama uzi fyuuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.