Najuta kuoa

Duh! !! Yaani a hame mkoa/nchi. Kisa mwanamke mwambie aache umama
Nahisi wewe ni mdogo wangu na kama sio wewe basi itakuwa story zenu zinafanana yaani mkewe yuko hivyo hivyo mpaka jamaa anatamani kumwachia kila kitu ahame mkoa au nchi kabisa!
 
Ha ha haha. .sio wewe tu. .mimi mwenyewe nimecheka sana aise
 
Kama hudanganyi pole sana

Sipendi kumshauri mtu kuchepuka ila hii ndio solution, kwa nn akutese? Kama hataki ndoa si aondoke?

Anakufungia njee kama nani? Acha utani, nyumba yako Mke anakufungia nje? Au wewe ndio umeolewa anakufanyia Visa uondoke??
 
Sidhani kama kuna mtu anaweza toka simba kwenda yanga au yanga kwenda simba....badili hapo mkuu
 
Bila shaka hata ww kutakuwa kuna sehemu una shida jichunguze vizuri yy akilala na jinsi ww unalala na nini?yaweza kuwa ww ni miongoni mwa wale watu wanaopalamia mke utafikiri unabaka mwisho unamuacha mwenzako na majeraha ya kujiuguza kila jambo lina sababu za kutokea usihukumu tu
 
Nadhani ndo naelekea huko!!
Mtu wa SPECIAL ZONE HUYU ,wanajuana wao kwa wao
Kwa hiyo baada ya kufika nae makambako ndio ukajua ni wa kanda maalumu? Wewe utakuwa ni kavulana na sio mwanaume wewe.
 
Yaani huyo mwanamke anamchora tu mshikaji anamuona punguani kabisa majibu gani hayo bado niwe naye aisee nahama mazima sitasikia cha nani wala sijui nani.
 
Anza kumpuunza na kumdharau ,anza kula kwa mama ntilie, ila yeye mpe cha kwake apike _usimuonyeshe unamhitaji , LA mwisho , kaolewa na wewe ili awe na MTU wakuendesha maisha, mengine ,ataendesha mwenyewe, ungekuwa dini yako kama yangu, ningetangaza posa sehem ingine
 

Yaani uliyoandika yote mimi nafanyiwa the opposite
 
Ondoka, potea umwache peke yake kama mwaka 1 hivi atakutafuta mwenyewe kwa adabu kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…