Ah aisee akili imechoka mno mkuu , hata nipo tayar kwa chochote nikirud home kutoka job nikaona kwel kaondoka bas sitamtafuta yy wala familia ykeKuna kitu hakwambii ambacho ndo sababu ya msingi. Maisha ni mafupi fikiri kabla ya kutenda usije yafupisha zaidi. Kila la heri.
Ah wala sijipi hizo shida nyengine aiseeMaana mwanamke usipo mfanya vilivyo huwa na visirani maneno maneno hasira nk.
Basi huyo mpeleke mahala sahihi akapate msaada wa kiakili.. inaonyesha ni mtoto hakupitia hatua hizo nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipend kujisifia kwamba mm ni perfect kwenye bed ila yy mwenyew had anajiskia wivu sn kutokana na namna ninayomtimiziaHapo kuna mawili, 1. show mbovu, 2. kuna mjinga anasimamia kucha, yaani kama hamna kati ya haya, basi nakojoa JF.
Umenena vyema, 🙏🙏🙏🙏Mwache afanye anachojiskia.....
Kama anajiskia kuondoka mwache aende, usimnyime kuondoka na akishaondoka usimtafute
Kuendelea kuongea nae na hasira alizo nazo zinaweza kuwapa hasara
Pole boss. Ukiona hakuna furaha malizana nae kiutu uzimaAh aisee akili imechoka mno mkuu , hata nipo tayar kwa chochote nikirud home kutoka job nikaona kwel kaondoka bas sitamtafuta yy wala familia yke
Sent using Jamii Forums mobile app
Finally conclusionMkeo hakueshim kabisa ,anakudharau ,anakuona dhaifu ,mchoyo na ni mchawi ....pole sana kwa kuoa mwanamke mchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ndoa sio sex tu, vinginevyo watu wasingezeeka pamoja.Hapo kuna mawili, 1. show mbovu, 2. kuna mjinga anasimamia kucha, yaani kama hamna kati ya haya, basi nakojoa JF.
Wewe unaonaje mkuu, maana siku ya mwisho maisha ni yako maamuzi ni yako furaha ni yakoHabar wakuu ,
Natumai mko na furaha na amani tofaut na mim
Niende moja kwa moja kwenye topic , sku nying nilikua nawashangaa sna vijana wengi tu ambao wanaponda sna kitu kuoa.
Nilikua nikiwabeza sana na kuhis kama wamechanganyikiwa hivi kutokana na experience yangu katika ndoa kwani ilikua ni maisha mazur sna na yenye amani mno.
Ila sasa najutaaaaaa , nasema tena najutaaaaaa
Mimi ni kijana wa miaka 28 na ni muajiriwa serikalin, pia najishughulisha na uekezaji katika kilimo so kipato changu ni cha wastani sio kibaya ki hivyo
Kisa cha kuleta huu uzi ni mke wangu kua na tabia za ajabu za kununa nuna kila sku bila hata ya sababu ya msingi
Akinuna anakaa siku mzima hanisemeshi na kunitumia sms za vitisho na kunishikilia kwamba nimuache ingawa hua sijaribu kumjibu lolote
Jana kuna work mate wangu ,,(man) ambaye ni jirani yetu mke wake amepata dharura kidg so hayupo
Wakati natoka job nikaona si mbaya kwa vile nilimsikia anataka kuenda hotel kula nikaona niongee na wife ili aje kupata chakula cha mchana tu home
Tatizo lilianzia hapo , wife hakuridhika na hilo akaniambia hataki kwann sikumpa taarifa mapema ila nikamuelewesha km imekua ni dharura tu na kwa vile ni chakula cha mchana tu haina shida
Akakubali ki roho upande ila akanihakikishia kwamba chakula kikiwa kdg usiku yy hatopika tena chochote kile kwani amechoka nikakubaliana na yeye yakaisha jamaa akaje kula na kuondoka
Usiku tumekaa mezani tunataka kula wife akaadha kulalama kwamba chakula kimekua kdg na nn kwasabb nilileta mtu bila mpangilio nikamuambia ww kula mm usiku spendi chakula kizto so nitakula bites tu
Bado akawa analalama , nikamuambia hivi mbona nyinyi wanawake hua mnajali sana kuhusu chakula
Heee! Kesi ilianza hapo yaani aligoma kula , hadi sasa ninavyosema hajala , hakulala chumbani na nahis kampigia mama yake kumpasha uongo kwamba namnyanyasa
Yaani hivi ninavyokuambia nipo kazini ila hizo sms zinazoingia kwamba sjui nimuache , sjui nikirud leo yy sitomkuta na keshanielekeza ambapo nitakuta funguo ya nyumba na maneno kila aina kwa kweli
Yaani kama kawaida principle yangu mm hua sijibu sms za kijinga ( nipo tu kimya )
Asubuh nilijihudumia kila kitu nikatoka kuja kazini
Sa najiuliza kosa langu mimi ni lipi hapo ??
Yaani najuta ,umri huu nilitakiwa nile bata na kutumia ujana wangu vzur ila daily stress za ki pumbavu tu yaani kila sku mtu ana nuna nuna bila sabbu za msingi
Yaaani nimechoka nasbiria nikipigiwa smu na wakwe tu basi natoa talaka directly
Najutaaa najutaa kabisa kuoa , hawa kunguru hawafugiki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
haya maandishi tu, si ndio unikimbie sasa.khaa