Najuta kuoa hususani katika umri mdogo nilionao

Nahis hii ni point , cause umri wake ni 24

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa nyingi za sasa changamoto kubwa ni hiyo..Mazingira yanachangia kwa asilimia kubwa. Ukitaka kuthibitisha hilo jaribu kumchukua ndugu yako wa kike mwenye umri chini ya 25 ishi naye kwa ukaribu na usisite kumkanya kila anapokosea...Kuna vijitabia utaviona kwake.Wewe ni kaka kwa mumewe je?
 
Hapa yako mawili: moja: huyo mwanamke ulimtoa wapi? Ulipata muda wa kukaa naye katika uchumba au urafiki angalau mwaka? Wewe unaenda unaingia kichwakichwa bila kumjua hata kujua malezi yake eti unaoa? Pambana na hali yako! Vijana mmeishaambiwa kwa vile hamtaki kutafutiwa wake wa kuoa na wazazi wenu (kama zamani) basi mkijichagulia kuwa na muda wa kujihakikishia huyo unayeoa atakufaa? Mke/mme akizingua inatesa sana maana mmeishaungana kiroho na kinafsi lazima uteseke. Chakukushauri inaonekana wewe umekaa kizembekizembe! Mke akikuletea nyodo unampa kisago kimoja cha nguvu! Au kama huwezi fukuza aende kwao na ingiza mchepuko ili akili zimkae vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom