nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
SK2016, Siku zote mke akisema muachana au ataondoka kwao hapo kuna mambo mawili.
1 kwao Ndugu zake wanamjaza kiburi kwamba kama vipi arudi nyumbani.
2 kuna jamaa linamjaza upepo wa kiburi na bila mwanamke kujua kwamba huyo mwanaume anampenda kwakuwa yuko kwa mme wake.
Fanyia kazi hayo Mkuu utapata jibu,
Sent using Jamii Forums mobile app
1 kwao Ndugu zake wanamjaza kiburi kwamba kama vipi arudi nyumbani.
2 kuna jamaa linamjaza upepo wa kiburi na bila mwanamke kujua kwamba huyo mwanaume anampenda kwakuwa yuko kwa mme wake.
Fanyia kazi hayo Mkuu utapata jibu,
Sent using Jamii Forums mobile app