kungurumanga
Senior Member
- Sep 4, 2015
- 175
- 44
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
utakua umepoteza mvuto!
yaani haumpi dyudyu ipasavyo.
halafu hayo mbona mambo madogo sana ya kuyamaliza kiume.
ndo maana nasema wanaume mmepungua.
utakuta kitandani unamgusagusa.
kwenye maamuzi mengine unamlegezea sauti ataachaje kufuata njia zake?
be a man dude.
Ndio maana kapoteza mvuto kwako.......
Maana hata mtoto wenu unamuita mtoto wake.... hivi hata kumbeba huyo mtoro unambeba kweli??? Unaporudi toka kwenye mihangaiko unakaaa hata kucheza na mtoto???
Hivi unazungumza na mkeo kweli na kujua anayopitia na changamoto zake????
Maji ya kuoga bado hata baada ya miaka 50 ya uhuru mnaweka kwenye ndoo na kupelekeana bafuni??? Kwa style hiyo mara ya mwisho kuoga na mkeo ilikuwa lini????
Unatimiza majukumu yako kweli? Maana mkeo asingekimbilia vikoba.
Ndoa inajengwa na wawili. Njia pekee ni wewe na mkeo kukaa chini kuzungumza na kutafuta muafaka....
alionyesha mapenzi mwanzoni tu,alipozaa kahamishia mapenzi kwa mtoto ake,kwa mwezi ananipa game mara mbili tena kwa kulazimisha,maji ya kuoga chakula vyote ananipa house girl,akirudi kazini yeye ni kulala na kutap,vikao kwa ajili ya vikoba na mifuko ya kukopeshana,kubeba mtoto hawezi anamuachia house girl.
Kwani mapenzi ni kuletea chakula na kukuwekea maji ya kuoga?
Hivi huwa mnanunuwa watumwa wa kuwaweka nyumbani?