Najuta kumtania mke wangu

Hiyo nyumba yenu wote hamna adabu.
Halafu inaonekana mkuu wa nyumba kuna mambo unafeli. Hakuna order

Lakin pia si mbaya duniani kila kitu kuna kuzidiana hata mawingu yapo makubwa na madogo kwa hiyo usjali na utani
Bichwa kubwaaa wee
 
Ha ha ha mpe hi mkeo .. ndiyo kama chake cha chini kitamu ha ha ha ha ha Johnson nakupa hi kwa mbaaliii
 
Kamuombe samahani na uache utani wa kipuuzi puuzi.

 
Sipati pic mkuu alivyovimbaa hata msosi hali leo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] njoo bar nikupe viroba 3 ukazimike kabisaa no story leo
 
Nimempenda mkeo, nipe namba yake nimfundishe na utani mwingine mzuri mzuri Kama huo
 
....akili inanituma kuamini hii kitu ni ya kutunga.
.....a real man hawezi fanya utani wa aina hiyo hata siku moja...unless uniambie-you are son of bitch.
Kwamba akiwa "mtoto wa malaya" ndio anaweza kuongea hivyo??
 
Unamtania kwa kumgusa Athari wake wa moyo!. Utakuta ndiye aliyemtoa usichana wake hivyo hawezi msahau
 
Nyumba ni nzuri ikiwa na utani na kufurahi pamoja. Ila jaribu kuuhuheshimu mdomo wako na akili iwe inafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…