Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
We ulianzaje kumtajia ex wake! Umeyatafuta mwenyew hayo yavumilie tu hata yeye alikuwa anatania tu
Habari wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo.Hapa niko nje ya nyumba yangu najiuliza sijui niende bar nikapunguze hasira au nikamshushie huyu mwanamke kipigo naombeni ushauri....!! Ilikuwa hivi niko zangu sebuleni nimepumzika baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu,Mke wangu yuko jikoni anaandaa Msosi kwaajili ya jioni ghafla akaniita na mambo yalikuwa hivi...!!
Mke: Baba Alson
Mimi:Nambie
Mke: Hivi ni lini uliniambia tutaenda kumnunulia mahitaji ya shule Alson (Ni mwanetu ambae wanakaribia kufungua shule)
Mimi: Acha akili zako za kusahau sahau si tumetoka kuongea juzi tu hapa ndio maana una bichwa kubwa kama la JOHNSON (huyu johnson alikuwa ni mpenzi wake wa zamani)
Mke: Hahaaaaa kama lake la chini vile pia lilikuwa kubwa na tamu...!!!
BAADA YA MANENO YAKE HAYO YA MWISHO SIKUMJIBU CHOCHOTE NILITOKA ZANGU NJE TARATIBU HUKU NIKISIKIA BADO KICHEKO CHAKE KWA MBALI....!!!
Mkuu jichunguze mtoto anaitwa Alson ex wake Johnson Bado Haulewi tuu...it's tym to start asking question. .
She's very good. Way to go girlie.Hahaha damn she's good. She bodied you badly with that comeback. You shoulda said "touché", and take that lesson with you.
Duh we jamaa una akili sanaMkuu jichunguze mtoto anaitwa Alson ex wake Johnson Bado Haulewi tuu...it's tym to start asking question. .
I agree with you kabisa.....akili inanituma kuamini hii kitu ni ya kutunga.
.....a real man hawezi fanya utani wa aina hiyo hata siku moja...unless uniambie-you are son of bitch.