WANA JF COME ON.. MNAAMINI HIZI STORY ZA KUTUNGA??? HII NI COMEDY TU Kichekesho. KUWENI NA AKILI YA KUJUA MAZINGIRAHabari wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo.Hapa niko nje ya nyumba yangu najiuliza sijui niende bar nikapunguze hasira au nikamshushie huyu mwanamke kipigo naombeni ushauri....!! Ilikuwa hivi niko zangu sebuleni nimepumzika baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu,Mke wangu yuko jikoni anaandaa Msosi kwaajili ya jioni ghafla akaniita na mambo yalikuwa hivi...!!
Mke: Baba Alson
Mimi:Nambie
Mke: Hivi ni lini uliniambia tutaenda kumnunulia mahitaji ya shule Alson (Ni mwanetu ambae wanakaribia kufungua shule)
Mimi: Acha akili zako za kusahau sahau si tumetoka kuongea juzi tu hapa ndio maana una bichwa kubwa kama la JOHNSON (huyu johnson alikuwa ni mpenzi wake wa zamani)
Mke: Hahaaaaa kama lake la chini vile pia lilikuwa kubwa na tamu...!!!
BAADA YA MANENO YAKE HAYO YA MWISHO SIKUMJIBU CHOCHOTE NILITOKA ZANGU NJE TARATIBU HUKU NIKISIKIA BADO KICHEKO CHAKE KWA MBALI....!!!
Itakua alikua amepata Ze Spirit of Ze NesheniAisee acha utoto..kwa nini ukumbushie ya nyuma? I am sorry to say this but That was so childish of you and you probably deserved that...
HahahaAhahhahaha usiende bana nimefuta kauli
Kuna mtu kanichekesha eti aliona kajamaa kanene kama mtoto wa tembo nimechekajeeHahaha
Hapo sawa mgoja nirud nimuache huyu na majanga yake
Habari wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo.Hapa niko nje ya nyumba yangu najiuliza sijui niende bar nikapunguze hasira au nikamshushie huyu mwanamke kipigo naombeni ushauri....!! Ilikuwa hivi niko zangu sebuleni nimepumzika baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu,Mke wangu yuko jikoni anaandaa Msosi kwaajili ya jioni ghafla akaniita na mambo yalikuwa hivi...!!
Mke: Baba Alson
Mimi:Nambie
Mke: Hivi ni lini uliniambia tutaenda kumnunulia mahitaji ya shule Alson (Ni mwanetu ambae wanakaribia kufungua shule)
Mimi: Acha akili zako za kusahau sahau si tumetoka kuongea juzi tu hapa ndio maana una bichwa kubwa kama la JOHNSON (huyu johnson alikuwa ni mpenzi wake wa zamani)
Mke: Hahaaaaa kama lake la chini vile pia lilikuwa kubwa na tamu...!!!
BAADA YA MANENO YAKE HAYO YA MWISHO SIKUMJIBU CHOCHOTE NILITOKA ZANGU NJE TARATIBU HUKU NIKISIKIA BADO KICHEKO CHAKE KWA MBALI....!!!
Wewe naye nini kinakuwaisha nyumbani saa hizi?
Wenzio bado tunapata mbili tatu we ushawahi nyumbani kutaniana na wanawake!!
Wacha upate.
HahahahaaaKuna mtu kanichekesha eti aliona kajamaa kanene kama mtoto wa tembo nimechekajee
ila wife wake ndo kaweka utani wa kijinga. mana huwenda huyo johnson hata hakuwa na bichwa kubwaUnaeamua kumfanya mke/mumeo lazima kuwe na lugha ya kuongea nae, ongea na mkeo/mume wako kama unavyoongea na mzazi wako (weka heshima). Utani unaoweza kumtania pia uwe wa heshima, mkiishi bila boundaries ni rahisi kudharauriana na matokeo yake ni majuto.
Naomba uwe mwalimu wangu wa kiingerezaAnd please be wise enough to go and ask for forgiveness to your wife and don't repeat that childish behaviour again...if you will act like a mature person your wife will surely be the same... Wacheni izo mambo za past and build what you have atm

utotoHabari wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo.Hapa niko nje ya nyumba yangu najiuliza sijui niende bar nikapunguze hasira au nikamshushie huyu mwanamke kipigo naombeni ushauri....!! Ilikuwa hivi niko zangu sebuleni nimepumzika baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu,Mke wangu yuko jikoni anaandaa Msosi kwaajili ya jioni ghafla akaniita na mambo yalikuwa hivi...!!
Mke: Baba Alson
Mimi:Nambie
Mke: Hivi ni lini uliniambia tutaenda kumnunulia mahitaji ya shule Alson (Ni mwanetu ambae wanakaribia kufungua shule)
Mimi: Acha akili zako za kusahau sahau si tumetoka kuongea juzi tu hapa ndio maana una bichwa kubwa kama la JOHNSON (huyu johnson alikuwa ni mpenzi wake wa zamani)
Mke: Hahaaaaa kama lake la chini vile pia lilikuwa kubwa na tamu...!!!
BAADA YA MANENO YAKE HAYO YA MWISHO SIKUMJIBU CHOCHOTE NILITOKA ZANGU NJE TARATIBU HUKU NIKISIKIA BADO KICHEKO CHAKE KWA MBALI....!!!
Ha ha ha 0le wake aletae makwazoHabari wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo.Hapa niko nje ya nyumba yangu najiuliza sijui niende bar nikapunguze hasira au nikamshushie huyu mwanamke kipigo naombeni ushauri....!! Ilikuwa hivi niko zangu sebuleni nimepumzika baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu,Mke wangu yuko jikoni anaandaa Msosi kwaajili ya jioni ghafla akaniita na mambo yalikuwa hivi...!!
Mke: Baba Alson
Mimi:Nambie
Mke: Hivi ni lini uliniambia tutaenda kumnunulia mahitaji ya shule Alson (Ni mwanetu ambae wanakaribia kufungua shule)
Mimi: Acha akili zako za kusahau sahau si tumetoka kuongea juzi tu hapa ndio maana una bichwa kubwa kama la JOHNSON (huyu johnson alikuwa ni mpenzi wake wa zamani)
Mke: Hahaaaaa kama lake la chini vile pia lilikuwa kubwa na tamu...!!!
BAADA YA MANENO YAKE HAYO YA MWISHO SIKUMJIBU CHOCHOTE NILITOKA ZANGU NJE TARATIBU HUKU NIKISIKIA BADO KICHEKO CHAKE KWA MBALI....!!!