najuta kukutana na Huyu mwana JF

najuta kukutana na Huyu mwana JF

Status
Not open for further replies.

Jenu

Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
70
Reaction score
44
Baada ya kuweka thread ya Mtu wa kula nae bata,nilibahatika kumpata,lakini alichonifanya sintasahau
Jamani mpenzi si kukomoana,alinipelekesha nikajikuta hospital sijitambui
 
kwani kula bata si lazima umkimbize ndo achinjwe jamani.
 
Kwani jamaa alikuwa ametoka jela kiasi kwamba alikuwa amemiss sana hayo makitu.
 
Sasa unajuta nini wakati ulimtafuta wa kula naye bata ukampata na bata akaliwa kama ulivyokuwa unataka!usilalame huenda huyo uliyemwalika kula bata ye alikuwa na hamu ya kula bata zaidi yako!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom