Wakuu mwanzoni nilikuwa mgumu sana kuhama nokia na symbian yao.....
Majuzi nimenunua samsung galaxy ace 2, kila kitu ni burudan..kuanzia application ya jf, camera na speed ya internet
Wakuu mwanzoni nilikuwa mgumu sana kuhama nokia na symbian yao.....
Majuzi nimenunua samsung galaxy ace 2, kila kitu ni burudan..kuanzia application ya jf, camera na speed ya internet
Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3g inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.