Ndeonasiae
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 102
- 49
Only after nimeondoka na kuacha nyumba yangu, napata habari ya mambo zaidi niyajuavyo kumbe watu walikuwa wananichora tu wanajua mambo mengi machafu na walikuwa hawaniambii, bado sielewi sababu ya mtu kumtenda hivi mke wake! why? why? why?
sipati jibu lakini ndio nazidi kuwachukia sana wanaume, sirudi nyuma hata kidogo.
sipati jibu lakini ndio nazidi kuwachukia sana wanaume, sirudi nyuma hata kidogo.