Wandugu, mbona sikumuona Rais wa kiafrika aliyehutubia jana kwa Madiba isipokua rais mwenyeji? Je, kuna sababu gani? Au ni ukoloni Maomboleo? Au uwezo mdogo?
Waliozungumza waliwakilisha mabara happy Brazil na Cuba wanatoka bara moja. Afrika iliwakilishwa na rais wa namibia. Vikevile AU iliwakilishwa na mama zuma. Ikumbukwe kuwa rais zuma nae aliiwakilisha afrika kusini na afrika kwa ujumla
ni afadhali marais wengine wa afrika hawakupata nafasi maana wangeanza kusema kuwa mandela alikuwa mtu wa kusamehe basi obama naye anatakiwa awasamehe magaidi
Wandugu, mbona sikumuona Rais wa kiafrika aliyehutubia jana kwa Madiba isipokua rais mwenyeji? Je, kuna sababu gani? Au ni ukoloni Maomboleo? Au uwezo mdogo?
Wandugu, mbona sikumuona Rais wa kiafrika aliyehutubia jana kwa Madiba isipokua rais mwenyeji? Je, kuna sababu gani? Au ni ukoloni Maomboleo? Au uwezo mdogo?
Badala ya hotuba ya kuomboleza wangeanza kunadi fulsa za uwekezaji kwa Mataifa yaliyokuwapo pale. Wengine wangesema sasa tuna gesi nyingi wengine mafuta nayo baharini na mwisho wangeomba pesa kwa Obama
. Watu wa protocal waliiona hiyo wakawapiga burn
Nilisoma jana humu eti JK angeongoza marais wengine kwenye kuaga/mazishi ya Madiba? Vp wadau, ilikuaje tena maaana hata kamera za uwanjani hazikumnasa kabisa!