HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,880
- 5,881
Kuna mwanaume anaweza omba ushauri wa kijinga kama ulioomba hapa? Hata baba yako huko aliko anajuta kuzaa toto laini kama wewe.
Unapoamka kwenye geto la mshikaji kitu cha kwanza wanawake wenzako wanafanya ni kupika chai sio kuanza kudanga mitandaoni kutafuta mabwana wapya.