Tanzanian lady
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 261
- 320
Tutaanza kuhesabu sasa.Hahaha amekukula Mara 3?
Mimi huwa sihesabugi..![]()
Nimefanyaje mpenzi?
NakugawaNimefanyaje mpenzi?
Unajua mwanamke ukishampenda mwanaume halaf ukajipeleka ujue utaliwa tu...hatuachagi nyama iliyojileta watu watakucheka
Hata ww imeshakutokea basi tu unazuga
NdioooMwaka wote wa nini huo!
imekuwa kandarasi ya kujenga barabara?
Hahahahaaja nimecheka kwa sautiMwaka wote wa nini huo!
imekuwa kandarasi ya kujenga barabara?

Ha ha haIli roho yako Iwe sawa inabid umtafute tena naww umle Mara tatu hapo ngoma droo 😀 😀 😀 sijui utamlaje kaz kwako
Hahaha,roger thatSiyo mbaya, piga moyo konde, safari bado ni ndefu, you will kiss so many frogs before you kiss the prince.
Yaani umeliwa isee kama marinda yakp salama usijaliNajiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...
Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku