Okol36
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,565
- 779
Mimi huwa natoa kwa kuenjoy nipate utamu basi. Huwa si demand chochote in returnweeeee...muhimu sana kuweka rekodi we binti.......ikifika mahali unahitaji fidia kwa uchenjuzi wa makinikia mlioufanya atleast there are numbers to back up your claims😀
Sawa tuanze![]()
Unajutia nini akati umepata exprience ya kutosha endelea kuongeza ufanisi, au aliondoka na kidude!
Wenzie wanatoa mpaka Tigo na bado wanaachwa sembuse yeye ni naniUnajutia nini akati umepata exprience ya kutosha endelea kuongeza ufanisi, au aliondoka na kidude!
Well saidSiyo mbaya, piga moyo konde, safari bado ni ndefu, you will kiss so many frogs before you kiss the prince.
UTAKUTA KATOA NA HIYO HAHAHA NDO MAANA MJUTO MWINGI.Wenzie wanatoa mpaka Tigo na bado wanaachwa sembuse yeye ni nani
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Usiwe mbinafsi kama unapata unachotaka ...endelea tu life's too shortAlidai yupo single kabisaaa...basi angekua mkweli tu kwangu jomon...
Ndio nn kuamua kunitangaza.....??Najiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...
Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana