Alidai yupo single kabisaaa...basi angekua mkweli tu kwangu jomon...Ulitegemea umkute single? Is it possible...
Ww kwako tunachukua mda gani tujiandae!Usijiingize mzima mzima kwenye mapenzi wakt bado hujamjua mtu....mwezi ni mdogo sana kusex nae mtu kam huyo ungemgundua mapema tu. ungemnyima tu angeshasepa mana alikua hakupenda
Nb.usipende kujirahisisha hata kam umempenda vip mtu
Swala la muhimu sana hili
Akiwa mwanamke ataelewa...kwa sasa muache autumie 'u-girl' wake vema!ha ha ha basi akutafute umtibie ili kirudi hahaaa! hizi girlish staffs zinakeraga eti anajutia...anajutia kupata utamu hahaaaa
Una maneno magumu...Hulipi...kapita kuosha rungu tu
weeeee...muhimu sana kuweka rekodi we binti.......ikifika mahali unahitaji fidia kwa uchenjuzi wa makinikia mlioufanya atleast there are numbers to back up your claims😀Hahaha amekukula Mara 3?
Mimi huwa sihesabugi..![]()
Saa nyingine mtu anajileta unaina ukimuacha watu watakucheka ndio situation kama hiziUna maneno magumu...
MwakaaWw kwako tunachukua mda gani tujiandae!
🙄🙄🙄🙄Najiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...
Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku