Najiona mjinga sana

Najiona mjinga sana

Hustahili kujihukumu kiasi hicho, makosa yapo ndio maana tunapaswa tujifunze.
Jisamehe lady !
 
Najiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi

Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu

Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...

Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Wanaume ukishawapa papuchi jiandae kisaikolojia.
 
Katika kosa kubwa wanawake huwa mnalifanya bila kujua ni kuwapa wanaume miili yenu kama zawadi ukinzani kwamba ndio atakupenda zaidi, lakini katika akili zetu sisi wanaume inatuambia kuwa huyu ni malaya.
But you have chance rekebisha ulipokosea.
 
Usijilaumu mrembo, kuteleza sio kuanguka. Ni moja ya changamotoo tuu!!
 
Najiona mjinga sana tena nisiyefaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hivi nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikuwa anaoneka mtu anayejiheshimu na mpole kumbe upole umeficha mengi

Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kaniapproach tumekuwa katika uhusiano wa mwezi mmoja tu na umevunjika...Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu

Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hivi due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mimi ni mjinga sana...

Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Kwahiyo Raimundo ndo alikukula au ulimu-assist??
 
Pole sana.
Ila naomba usijilaumu, hukujua hata ww ndiyo maana ukajikuta umeungia kwenye mahusiano. Usijione mkosaji sbb mapenzi yana mambo mengi sana mazuri na mabaya.
Chukulia hili ni funzo la kukufungua macho. Uzuri au upole wa mtu haumfanyi mtu kuwa na true love. Ili kuepukana na upweke huu. Sikiliza muziki na changamana na watu. Ukipata movie zile za mr bean, charlie chapline, na zingine za vichekesho itakusaidia sana.
Pole, mapenzi ndiyo yalivyo. Najua umejisikia vibaya ila next time itakuweka pazuri sana.
Asante aisee
 
Pole sana, wewe ulimuona mpole na mstaarabu kumbe ilikua ni chambo cha kukupanua paja..

Kweli bora tuu ujidharau.!!!
Acha tu ndugu yaan naona aibu hata kwa watu walie niona nae...watanifikiriaje?
 
Asante aisee
Tunaanzisha mahusiano kwa nia njema kbsa na lengo ni kuwa mume na mke. Ila hutokea kinyume kwasbb hatujui kilichomo ndani ya mioyo ya wapenzi wetu. Inauma lkn haina jinsi, na huo ndiyo ukweli.
Ni sawa na kulima shamba, na unategemea kuvuna, bahati mbaya mafuriko yakapita kila kitu kikaenda na maji. Unaweza kujilaumu kwann nimelima hapa, kwann hiyo hela nisingenunua kitu chochote. Hukujua na ulilima ili kupata mazao na hayo ndiyo mategemeo yetu. Na kutokea kwa mafuriko siyo mwisho wa kulima bali imekupa somo zuri ili siku ukianza kulima, uangalie sehemu na ulime kwa kufuata kontua na pia itakufanya ujikinge vip kwa kuchimba mifereji pembeni mwa shamba.
Pumzika, jipe muda na uanze kutembea tena kwa kuangalia sehemu ya kukanyaga.
Pole
 
Back
Top Bottom