Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Kwani alikuahidi ndoa?Et eee BT muongo muongo sana
Halafuu hivi hujasikia utam kabsaa kiasi cha kujilaum?
Nauliza tu hivi kila mahusiano yangefikia ndoa unazani ingekuaje labda?
Kwani alikuahidi ndoa?Et eee BT muongo muongo sana
Asante mkuu umenena vyema sana nadhani atakuwa amekuelewa...Kweli we ni mjinga... sasa baada ya kugundua ana wanawake wengi s ndio ilkua chance ya kumpa vitu kumfanya awe wako pekee? Au unafkr anaanza tu kua wako hiv hiv, watu wenyewe mko wengi hadi wengine mnashnda sokon na bango kua mnatafuta mme, tumia akili kua mvumbuz na umfanye awe wako tu milele....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kapiganie mali yako wewe, ukisusa wenzio wanashangilia wanajimilikisha.Et eee BT muongo muongo sana
Pole sana.Najiona mjinga sana tena nisi efaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hv nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikua anaoneka mtu anaejiheshim na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kani approach tumekua ktika uhusiano wa mwez mmoja tu na umevunjika...
Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hv due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mi ni mjinga sana...
Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Teh teh labda ataki kupima saiziUnajutia nini akati umepata exprience ya kutosha endelea kuongeza ufanisi, au aliondoka na kidude!
woii hayo madude yana exposure!hahaa anatakiwa apitie nyingi hadi akimbie hahaaaTeh teh labda ataki kupima saizi
Unaonaje ukimuonjesha utamu na Raimundo kama Mara 3 hivi?Najiona mjinga sana tena nisi efaa katika jamii,,,
Kama mnakumbuka kama mwez umepita hv nilileta Uzi wa kumpenda rafik yangu yaan nilitokea kumpenda sana hasa tabia yake ilinivutia alikua anaoneka mtu anaejiheshim na mpole kumbe upole umeficha mengi
Basi bwana kumbe jamaa aligundua nampenda akawa kani approach tumekua ktika uhusiano wa mwez mmoja tu na umevunjika...
Nimegundua ni muongo muongo,,,, anawanawake wengi nimeamua kuuvunja uhusiano huu
Kinachoniuma kanikula kama Mara 3 hv due!!! yaan najizarau sana,,,najichukia kupita kawaida in short mi ni mjinga sana...
Cc Raimundo.. Ndugu yangu nisha angukia pua huku
Tena mara 3+ha ha ha basi akutafute umtibie ili kirudi hahaaa! hizi girlish staffs zinakeraga eti anajutia...anajutia kupata utamu hahaaaa
Ohoooo aje sasa aone hii post atakua bado huyuwoii hayo madude yana exposure!hahaa anatakiwa apitie nyingi hadi akimbie hahaaa
Lengo la kuombana ni kupeana sijui mnalenga nini msemapo usijirahisi ni bola kumpa mtu makavu kuliko kumringia kwanza hafu ndo umpeUsijiingize mzima mzima kwenye mapenzi wakt bado hujamjua mtu....mwezi ni mdogo sana kusex nae mtu kam huyo ungemgundua mapema tu. ungemnyima tu angeshasepa mana alikua hakupenda
Nb.usipende kujirahisisha hata kam umempenda vip mtu
Kumbe nawewe umefaidi usijidharau lady nini mwezi hata wiki mechi 3 sawa tu muhimu hujabakwa tuKawaida